Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Tukikubali uongo wao watatuzuia kupambana hadi watupige mnada, maana kila kitu watasema kinafanywa na sukuma gang hata kama kinaonesha dhahiri ni kwa maslahi ya taifa,So wewe ni sukuma gang?
Hawajakutana barabarani.Palipo mzoga mama hakosekani nyuma yake. Naona Lisu akiwa kwenye full khaki mpaka safari boots (clacks)
View attachment 2062018
TAKUKURU & DPP
SPIKA WA BUNGE JOBU NDUGAI ACHUNGUZWE KWA TUHUMA ZA MATUMIZI YA DOLA MILIONI 12 ( Shs BILLIONI 27) KWA AJILI YA MATIBABU NCHINI INDIA 2015/16/ & 2017/18...
Kama mbwai iwe mbwai. Au sindio?Apende asipende Mh.Ndugai lazima aachie ngazi mchuma uondoke...short of that tutawaomba Wananchi tuungane tulisindikize Bunge liwe dissolved.
Kwa Mwari kunaliwa na kwa Kungwi kunaliwa pia
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hahahahaaaaa,wakati upinzani wakikemea haya mlimuunga mkono ndugai!Wakati hayo yakifanyika
Rais wa sasa alikua Makamu wa Rais..
NAMCHUKIA SANA MTU ANAYEJIITA MWANACCMSpika wa bunge la jamhuri ya muungano JOB NDUGAI amedai kuwa kulingana na mwenendo wa deni la taifa kufikia trilion 70 ipo siku nchi ya Tanzania itapigwa mnada amenena maneno hayo baada...
NDUGAI ANAICHONGANISHA SERIKALI NA WANANCHI NI MNAFIKI KUPINDUKIA.ANA CHUKI NA MAMASpika wa bunge la jamhuri ya muungano JOB NDUGAI amedai kuwa kulingana na mwenendo wa deni la taifa kufikia trilion 70 ipo siku nchi ya Tanzania itapigwa mnada amenena maneno hayo baada...