Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Spika Ndugai kiukweli ametoa tahadhari nzuri tu, hebu fikiria ingekuwa ni Tundu Lisu ndio kaiponda mikopo ya mabeberu hakika hapa Jf pasingetosha pongezi za makamanda.

Ila kwa sababu aliyeshauri ni mgogo watu mnadharau hoja yake.

Maendeleo hayana vyama!
Mnalazimisha CHADEMA waingilie huo utoto wenu lakini na wameuchuna mparuane wenyewe.
 
Acha kuwahusisha wasukuma na huu upuuzi wa ccm..wasukuma ni kabila pole lisilopenda makuu..plz stop this nonsense...mkue basi.

#MaendeleoHayanaChama
Magufuli ni mpole? Je Makonda? Kitu mmewafanyia Watanzania miaka 5 iliyopita hawatasahau
 
Ndudai mbona enzi za zamani alikuwa haongei haya


Wakati ule wazo la namna hiyo halikumjia kichwani mwake , limemjia sasa hivi Je anyamaze asiseme sababu Kwanini hakusema wakati ule ulopita?

Mantiki itakuwa ni nini ?!

After all kiwango cha deni cha wakati ule hakikuwa nimefika pakubwa kama ilivyo sasa , Kwa hiyo akistuka sasa ni sawa kwa kutoa tahadhari kabla ya hatari
 
Ameongea jambo la msingi,,,lakini pia Mikopo yote hio inapitishwa yeye akiwepo hapohapo Bungeni...

Watu wanamuona kama mnafiki hivi,,,japo alilolisema ni hoja ya mda mrefu ambayo watu wameizungumza sana..

Sisiemu kimekuwa chama cha hovyo sana,,hawaeleweki..
 
Kama Spika wa Bunge ameanza kusema tozo Ilipitshwa bungeni bila ridhaa ya wananchi , kifuatacho ataanza kupinga chanjo kama wasaliti wenzie kina polepole. Yaani, kweli yajayo yanastajabisha.
Ccm, mmekuaje?. Mbona mnalumbana hovyo tena hadharani. It's really disgusting.
 
Wakati ule wazo la namna hiyo halikumjia kichwani mwake , limemjia sasa hivi Je anyamaze asiseme sababu Kwanini hakusema wakati ule ulopita?

Mantiki itakuwa ni nini ?!

After all kiwango cha deni cha wakati ule hakikuwa nimefika pakubwa kama ilivyo sasa , Kwa hiyo akistuka sasa ni sawa kwa kutoa tahadhari kabla ya hatari
Unafiki ni janga nchi, anachoongea yuko sahihi but at wrong time
 
Back
Top Bottom