Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

Huyu mgogo ana kichaa kichwani.Sasa kupewa mkopo kuna shida gani? Hiyo pesa nusu ni msaada na nusu ni soft loans.

Unaachaje kushangilia ikiwa kwa pesa hizo tumemaliza tatizo la madarasa,tumejenga na kumalizia vyuo vya VEta,tumenunua X ray machine kwa hospital zote na vituo vya afya,tumenunua CT Scan kwa hospital zote za Mikoa,tumenunua MRI kwa hospital zote za Kanda na Kitaifa.

Kanakwamba haitoshi tumenunua magari ya chanjo na kutoa ambulance kwenye hospital zote Tzn.

On top of that tumejengea miundombinu kwenye hifadhi za Taifa,tumenunua magari ya kuchimbia maji mikoa yote,tumenunua mitambo ya kutafiti kiwango cha maji kwa Kanda zote na tumewapatia maji baadhi ya maeneo.

Si hayo tuu kwa pesa hizo bil.5 zimeenda kwa machinga.Swali je mikopo mingine iliwahi kufanya nini?
Hivi unilipwa shilingi ngapi!??
 
Spika Ndugai kiukweli ametoa tahadhari nzuri tu, hebu fikiria ingekuwa ni Tundu Lisu ndio kaiponda mikopo ya mabeberu hakika hapa Jf pasingetosha pongezi za makamanda.

Ila kwa sababu aliyeshauri ni mgogo watu mnadharau hoja yake.

Maendeleo hayana vyama!

Yaaani MUNGU tuu atusaidie hiyo 1.3T yao inawwza Kutupa Masharti Ambayo wengi hawayapendi...Basi tuu kama Kuchanja naniliii...
Taifa Linatakiwa Kumlilia MUNGU siku zote[emoji1666][emoji120]
 
Nimekosa mimi, nimekosa sana... nimekosa mimi.....
 
Spika wa bunge la jamhuri ya muungano JOB NDUGAI amedai kuwa kulingana na mwenendo wa deni la taifa kufikia trilion 70 ipo siku nchi ya Tanzania itapigwa mnada amenena maneno hayo baada ya kusema kwamba tozo zote zamiamala ya simu zilizopitishwa na bunge zilipitishwa kwa lazima kwani wananchi hawakuridhia kama inavyosema na baadhi ya wanasiasa.

Kwa maneno hayo naona kuna mambo yanaendelea huko Lumumba yapo mambo hayajakaa sawa ukiona spika anaanza kulalamikalalamika! Alianza kuhusiana na serikali kuhamia Dodoma kuwa kwa sasa kazi zote za serikali na makongamano zimerudishwa Dar-es-Salaam.

Mheshimiwa Ndugai popote ulipo nakwambia hivi wewe na viongozi wako mnaifanyia nini hii nchi mbona mnakaa mnalalamika lalamika wakati chama ni cha kwenu na chama chenu ndicho kimeunda serikali.?

=====

UPDATES;

=====

=> Watu wengi wanatulaumu sana, ninyi ndio Wasomi. Hebu fikiria, Juzi mama kaenda kukopa 1.3 Trilioni deni.

=> Na tuna majengo hivi sasa ya Madarasa, ya Vituo vya afya, ambayo yanajengwa kwa tozo. Hivi ipi bora? Sisi Watanzania wa miaka 60 ya Uhuru tuendelee kukopa na Madeni au tubanane banane hapa tujenge wenyewe bila madeni Makubwa yasiyoeleweka? Ni lini tutajenga wenyewe?

=> Tutembeze bakuri ndo heshima? na tukishakopa tunapiga makofi! Sisi wa kukopa kila siku?

=> Tukasema pitisha Tozo, anayetaka asiyetaka, pitisha Tozo. Lazima tuanze kujenga wenyewe. Nani atatufanyia? Yupo wapi huyo Mjomba? Tukapitisha Tozo.

=> Sasa 2025 itaamua. Mkitoa waliopo sawa. Waje watakaokuwa kazi yao kwenda kukopa endepo hiyo ndo namna ya kuendesha Nchi.

=> Hivi sasa deni letu ni 70 Trilioni. Hivi ninyi si Wasomi? Is that healthy? Kuna siku nyi itapigwa mnada hii. Madeni Madeni Madeni

=> Bajeti yetu Trilioni 30, Trilioni 10 kati ya hizo kwa Mwaka tunalipa Madeni.

=> Tumeenda Kukopa 1.3 Trilioni, Tunapiga Makofi. Tunawapa Wazungu Trilioni 10 Mariba Matupu. Wanatufanya Sisi Mazezeta. Hela yako Mwenyewe. Anachukua hela yako, halafu anakupa Kidogo Unashangilia.

=> Toza fanya hivi, tujitegemee, Tusimame wenyewe. Kuna ubaya gani? Hata msomi anatupinga.
View attachment 2060338

Zaidi, soma: Thread 'Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu[emoji120]' News Alert: - Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu[emoji120]
Na ya vikao vya serikali kuhamia Dar badala ya Dom. Wanafunzi kuzuiwa kusoma tuition? Au nayo alirekodiwa vibaya?
 
FB_IMG_1641202178663.jpg
 
Spika wa bunge la jamhuri ya muungano JOB NDUGAI amedai kuwa kulingana na mwenendo wa deni la taifa kufikia trilion 70 ipo siku nchi ya Tanzania itapigwa mnada amenena maneno hayo baada ya kusema kwamba tozo zote zamiamala ya simu zilizopitishwa na bunge zilipitishwa kwa lazima kwani wananchi hawakuridhia kama inavyosema na baadhi ya wanasiasa.

Kwa maneno hayo naona kuna mambo yanaendelea huko Lumumba yapo mambo hayajakaa sawa ukiona spika anaanza kulalamikalalamika! Alianza kuhusiana na serikali kuhamia Dodoma kuwa kwa sasa kazi zote za serikali na makongamano zimerudishwa Dar-es-Salaam.

Mheshimiwa Ndugai popote ulipo nakwambia hivi wewe na viongozi wako mnaifanyia nini hii nchi mbona mnakaa mnalalamika lalamika wakati chama ni cha kwenu na chama chenu ndicho kimeunda serikali.?

=====

UPDATES;

=====

=> Watu wengi wanatulaumu sana, ninyi ndio Wasomi. Hebu fikiria, Juzi mama kaenda kukopa 1.3 Trilioni deni.

=> Na tuna majengo hivi sasa ya Madarasa, ya Vituo vya afya, ambayo yanajengwa kwa tozo. Hivi ipi bora? Sisi Watanzania wa miaka 60 ya Uhuru tuendelee kukopa na Madeni au tubanane banane hapa tujenge wenyewe bila madeni Makubwa yasiyoeleweka? Ni lini tutajenga wenyewe?

=> Tutembeze bakuri ndo heshima? na tukishakopa tunapiga makofi! Sisi wa kukopa kila siku?

=> Tukasema pitisha Tozo, anayetaka asiyetaka, pitisha Tozo. Lazima tuanze kujenga wenyewe. Nani atatufanyia? Yupo wapi huyo Mjomba? Tukapitisha Tozo.

=> Sasa 2025 itaamua. Mkitoa waliopo sawa. Waje watakaokuwa kazi yao kwenda kukopa endepo hiyo ndo namna ya kuendesha Nchi.

=> Hivi sasa deni letu ni 70 Trilioni. Hivi ninyi si Wasomi? Is that healthy? Kuna siku nyi itapigwa mnada hii. Madeni Madeni Madeni

=> Bajeti yetu Trilioni 30, Trilioni 10 kati ya hizo kwa Mwaka tunalipa Madeni.

=> Tumeenda Kukopa 1.3 Trilioni, Tunapiga Makofi. Tunawapa Wazungu Trilioni 10 Mariba Matupu. Wanatufanya Sisi Mazezeta. Hela yako Mwenyewe. Anachukua hela yako, halafu anakupa Kidogo Unashangilia.

=> Toza fanya hivi, tujitegemee, Tusimame wenyewe. Kuna ubaya gani? Hata msomi anatupinga.
View attachment 2060338

Zaidi, soma: Thread 'Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏' News Alert: - Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏
Kumbukumbu ikuje hapo jirani zake mpwampwa hakuna LAMI! Hivi kwi TOZU itatosha kulamisha ????? Au mbwebwe tu!Kama kudemka basi RWANTANG umedemka vibaya Duh!!! 1. Omba radhi
2.Jitafakari
 
Aliyekopa fedha nyingi kuliko wote ni magufuli.

Marehemu pombe ameacha matatizo mengi sana katika hii nchi sababu ya ushamba wake
JPM kama kukopa alikopa humu ndani ya nchi si kule ulaya, world bank na IMF alikuwa hakubaliki
 
Tukasema pitisha Tozo, anayetaka asiyetaka, pitisha Tozo. Lazima tuanze kujenga wenyewe. Nani atatufanyia? Yupo wapi huyo Mjomba? Tukapitisha Tozo.

=> Sasa 2025 itaamua. Mkitoa waliopo sawa. Waje watakaokuwa kazi yao kwenda kukopa endepo hiyo ndo namna ya kuendesha Nchi.

=> Hivi sasa deni letu ni 70 Trilioni. Hivi ninyi si Wasomi? Is that healthy? Kuna siku nyi itapigwa mnada hii. Madeni Madeni Madeni

=> Bajeti yetu Trilioni 30, Trilioni 10 kati ya hizo kwa Mwaka tunalipa Madeni.
Sasa huko jikoni kushachafuka. Kitumbua kishaingia mchanga.

Ngoja watoto washinde njaa tuone tutafikishana wapi
 
Mama aachane na mzimu wa mtangulizi apambane na ukurasa wake.
Anauachaje wakati kaamua vita iendelee ? Ngoja tulete kuni jikoni moto uendelee kuwaka. Kwani moto ukimchoma mmoja wapo tukisikia kelele sisi ni kunukuu tu
 
Wakati wananchi tunalalamika tulionekana ni mazwazwa na hajui chochote. Wakaonekana akina Mwigulu ndio wanajua kila kitu kwa sababu tu ya kukariri principles za kiuchumi kinadharia badala ya kivitendo haya sasa ndio madhara yake. Wao kila siku wanatuambia deni ni himilivu wakati si kweli hilo deni si himilivu na litatuletea shida.
Kumbe hata ccm wanajua deni sio himilivu ? Ngoja wapigane spana kwanza. Sisi yetu macho
 
Apelekwe mahakamani akatueleze bilioni 12 za matibabu zilitumikaje
 
Back
Top Bottom