kwamba siutetei upande wowote kwa ushabiki holela bali kwa hoja zenye kujibu naomba ieleweke,
Kusherehekea pesa kama wendawazimu bila kuelewa msingi wake ni utoto na mnaambiwa ukweli taka msitake!!!
Mwendazake alikuwa na plan zake na lkwa hili la leo wenue akili wote tumeelewa kuwa blue paper ya aliyoyafanya ilijulikana na the the top 5 of national authority akiwemo huyo job. Plan iliyokuwa na utaratibu wa kurejesha pesa kwa kupitia maliasili za madini haraka sana , ila hakuweza kisimamia plan hiyo mpaka mwisho kwa yaliyotokea.
Waliokuja, hawana uwezo wa kutembelea kiatu kile kwani uwezo wa kudhibiti maliasili na kuwabana mabebeeu ili kuingiza pesa hawana. Lakini bado tunawataka watekeleze maendeleo waliyoyarithi , hapo ndio kizungumkuti!
Wametapatapahuku na huko, mara tozo mara luku n.k lakini hela haitoshi kuendeleza miradi! Ikabidi wafuate masharti ya mabeberu ili wapate fedha , wananchi muone fly over na ndege mpya lkn njia ya kupatia fedha ilisha badirika.
Kwakuwa waliokuwepo wanajua ilivyokuwa na ilivyosasa, wanaona jinsi picha sasa linavyotisha . Kwa kupata maendeleo yale yale kimikopo bila uwezo wa kudhibiti madini ili kulipa mikopo hiyo jibu lake ni wazi kuwa hiyo ni disaster inakuja.
Hata ukiamgalia lile jiwe lilikuwa halisafiri kwenda magharibi na lilikuwa linajisifu kuwa linaandaa donor country, na mziki ule ilifikia dunia ikauelewa vizuri sana, kwani jiwe linakuambia Nickel ya kagera inatumika kutengeneza ndege na Tz ni ya 3/2 duniani , hellium ni gesi muhimu na Tz ni ya 1 au 2 duniani, bila kutaja madini mengine mengi tuliyonayo kwa wingi. Ukiweza kiyadhiniti vema hata ukope unakuwa na kiburi cha kulipa maana hata matajiri wanaweka akiba ya dhahabu sio minoti tu sasa kama una dhahabu ardhini maana yake unauhakika kuwa wewe una pesa na hakuna mtu mwenye akili anaejua nafasi ya dhahabu katika teknolojia ya uzalishaji na katika matumizi yake kama fedha atakunyima mkopo wowote akijua dhahabu ipo.
Tatizo linakuja kwa wattawala dhaifu ambao ubeberu wanauruhuau tena urudi, hawana udhibiti tena wa madini yetu( pesa yetu) , sasa hata wakikopa deni linakosa uhakika wa kulipwa , nchi ni lazima itapogwa mnada. Hawana jeuri ya kusema tena ," Tanzania ni tajiri".