jaywacnza JF-Expert Member Joined Sep 15, 2012 Posts 997 Reaction score 1,151 Sep 23, 2020 #2 Hapo ndio nia ovu ya rais wa wanyonge na genge lake inapoonekana, hawana nia njema na nchi yetu hawa wahuni. Watanzania mkifanya makosa mtajuta maisha yenu yote. Na Ndugai alisema atake asitake tutamuongezea.
Hapo ndio nia ovu ya rais wa wanyonge na genge lake inapoonekana, hawana nia njema na nchi yetu hawa wahuni. Watanzania mkifanya makosa mtajuta maisha yenu yote. Na Ndugai alisema atake asitake tutamuongezea.
F fazili JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 16,427 Reaction score 22,418 Sep 23, 2020 #3 Tuweke nguvu zaidi CCM watatoka mwaka huu.
A antimatter JF-Expert Member Joined Feb 26, 2017 Posts 47,274 Reaction score 126,778 Sep 23, 2020 #4 Huu ni muda muafaka wa kuipumzisha CCM.
peno hasegawa JF-Expert Member Joined Feb 24, 2016 Posts 14,255 Reaction score 23,949 Sep 23, 2020 #5 fazili said: Tuweke nguvu zaidi ccm watatoka mwaka huu. Click to expand... Kanda ya ziwa mikoa ya Mara,Mwanza,shinyanga,geita,kagera, simiyu,katavi tuweke nguvu na tushirikiane tufanye Jambo letu Oct 28 saa tatu asubuhi. TL
fazili said: Tuweke nguvu zaidi ccm watatoka mwaka huu. Click to expand... Kanda ya ziwa mikoa ya Mara,Mwanza,shinyanga,geita,kagera, simiyu,katavi tuweke nguvu na tushirikiane tufanye Jambo letu Oct 28 saa tatu asubuhi. TL
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Sep 23, 2020 #6 fazili said: Tuweke nguvu zaidi ccm watatoka mwaka huu. Click to expand... Utawatoa kwa tume ipi?
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Sep 23, 2020 #7 antimatter said: Huu ni muda muafaka wa kuipumzisha ccm Click to expand... Kwa hii NEC ya CCM tusahau
antimatter said: Huu ni muda muafaka wa kuipumzisha ccm Click to expand... Kwa hii NEC ya CCM tusahau
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 6,346 Reaction score 14,546 Sep 23, 2020 #8 Ugumu unakuja katiba yetu inapendelea chama tawala... ko ni ngumu siku zote tuongee vyote ila tukumbuke Mkuu wa nchi,mkuu wa serikali na mkuu wa majeshi tunayetaka kumtoa...
Ugumu unakuja katiba yetu inapendelea chama tawala... ko ni ngumu siku zote tuongee vyote ila tukumbuke Mkuu wa nchi,mkuu wa serikali na mkuu wa majeshi tunayetaka kumtoa...
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Sep 23, 2020 #9 Tz hajawahi kuwa na spika wa hovyo kama huyu tangu ukoloni
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Sep 23, 2020 #10 Job Ndungai ni Spika wa hovyo kuliko wote waliopata kutokea JMT.
F fazili JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 16,427 Reaction score 22,418 Sep 23, 2020 #11 Babati said: Utawatoa kwa tume ipi? Click to expand... Hakuna haja ya tume huru hata kwa mawe tu wanatoka.
Babati said: Utawatoa kwa tume ipi? Click to expand... Hakuna haja ya tume huru hata kwa mawe tu wanatoka.