Job Ndugai: Wabunge watarajiwa wapimwe afya ya akili

Hivi ndungai ameshapona kichaa chake alichokuwa anatibiwa mirembe?
 
Mh. Ndugai sio afya ya akili tu bali kuongeza vigezo vya kuwa Mbunge. Tusitumie vigezo wa wakati wa uhuru alivyotumia baba wa Taifa. Tunge waengua wote wanaonunulika kirahisi kwa ajili ya udhaifu wao wa kielimu mfano Kibajaji anawezaje kuusoma na kuuelewa mkataba uliopo Bungeni sasa hivi wa kutaifisha bandari zote za nchi hii?? Kwa kiwango cha Dunia ilipofikia na kwa kiwango cha Elimu cha nchi yetu hakuna kijiji TZ ambacho kitakosa watu wenye Degree moja kwa nini degree isiwe kigezo cha ubunge??
 
Lakini pia wote wale ambao wamekuwa wakiumbuliwa na CAG miaka nenda rudi ni wale wenye madigirii kibao !! Mark my words !
 
Lakini pia wote wale ambao wamekuwa wakiumbuliwa na CAG miaka nenda rudi ni wale wenye madigirii kibao !! Mark my words !
Nakubaliana nawewe ndio maana nimesema utadhani wabunge na viongozi wengine sio wazawa wa nchi hii. Ila kisomo nacho ni tatizo pia kuna vitu vya kawaida kabisa huatarajii mwanafunzi wa darasa la saba aelewe kiufasaha na kuweza kulilinda Taifa lake hapo ndipo nilipo sisitiza tuangalie upya through katiba mpya qualifications za member of parliament. Isiwe tu kusoma na kuandika hii sio sawa. Kwa kipindi kile tunapata uhuru ilikuwa sawa kwani kulikuwa hakuna watu wakutosha wailiosoma nchini
 
Hivi mwanasheria wa serikali kwa sasa ni nani na yeye anaseja kuhusu mkataba huu?? ni ngumu kuelewa.
 
Sahihi kabisa. !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…