Za jioni Wakuu.
Jobu Ndugai Spika aliyeweka rekodi ya kujiuzulu amewataka Wananchi kuacha kulaumu na Kulalamikia Watawala na Vyama vya Siasa badala yake wafanye kazi Ili kujikwamua kwenye umaskini na kujiletea Maendelea.
Ameongeza kwamba Wasitegemee Vyama vya Siasa kuwaletea Maendelea.
Tiririka hapa [emoji116]
Jitu fidhuli, katili, shetani la Jiwe, dhulumati mkubwa wa Lisu, . takataka tupu!