Job Ndugai watanzania wanataka kufahamu ukweli, itisha press conference. Eleza ukweli, tatizo ni mkopo au urais?

Job Ndugai watanzania wanataka kufahamu ukweli, itisha press conference. Eleza ukweli, tatizo ni mkopo au urais?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mpaka sasa kuna wingu kubwa sababu ya Ndugai kusakamwa na mpaka akajiuzulu. Kama kuhoji juu ya mkopo wa tril 1.3 huku kuna tozo za miamala haukuwa na kosa. Maana ulihoji kama Spika na mtanzania.

Kama una nia ya kugombea urais napo hauna kosa maana ni haki yako ya kikatiba.

Sasa, watanzania wanataka kufahamu ukweli, nini tatizo mpaka mkuu wa Ccm na wanaccm wakakusakama japokuwa sio wote.

Itisha mkutano na wanahabari na uweke wazi mambo.
 
Mhe. Ndugai kwa maoni yangu hana kosa. Kuhoji kama Mtanzania ana kosa gani. Suala hili lilikuzwa kwenye magazeti, mitandao ya kijamiii na hii imemfanya Mhe. Ndugai kujiuzulu.
 
Amuone kwanza Nape Nnauye waongee kabla ya kuitisha hiyo Press conference.
 
Mpaka sasa kuna wingu kubwa sababu ya Ndugai kusakamwa na mpaka akajiuzulu. Kama kuhoji juu ya mkopo wa tril 1.3 huku kuna tozo za miamala haukuwa na kosa. Maana ulihoji kama Spika na mtanzania.

Kama una nia ya kugombea urais napo hauna kosa maana ni haki yako ya kikatiba.

Sasa, watanzania wanataka kufahamu ukweli, nini tatizo mpaka mkuu wa Ccm na wanaccm wakakusakama japokuwa sio wote.

Itisha mkutano na wanahabari na uweke wazi mambo.
Kwa akili yako unafikiri atafanya hivyo? Utangoja sana
 
Mpaka sasa kuna wingu kubwa sababu ya Ndugai kusakamwa na mpaka akajiuzulu. Kama kuhoji juu ya mkopo wa tril 1.3 huku kuna tozo za miamala haukuwa na kosa. Maana ulihoji kama Spika na mtanzania.

Kama una nia ya kugombea urais napo hauna kosa maana ni haki yako ya kikatiba.

Sasa, watanzania wanataka kufahamu ukweli, nini tatizo mpaka mkuu wa Ccm na wanaccm wakakusakama japokuwa sio wote.

Itisha mkutano na wanahabari na uweke wazi mambo.
Hatokusikia. Kwasasa yuko ktk mikono salama hadi halo irudi kuwa shwari.
 
Ndio naomba aje tena kwenye media aeleze pia mgawanyo wa hiyo pesa ukoje.

Maana nasikia 200b iliingia zenji

Juzi mama alisema nchemba alimpigia kuna madeni yana machua wakatia 500b kutuliza gasia

So jamhuri ilipokea 600b tuu ambazo ndio zilitumika
 
Mpaka sasa kuna wingu kubwa sababu ya Ndugai kusakamwa na mpaka akajiuzulu. Kama kuhoji juu ya mkopo wa tril 1.3 huku kuna tozo za miamala haukuwa na kosa. Maana ulihoji kama Spika na mtanzania.

Kama una nia ya kugombea urais napo hauna kosa maana ni haki yako ya kikatiba.

Sasa, watanzania wanataka kufahamu ukweli, nini tatizo mpaka mkuu wa Ccm na wanaccm wakakusakama japokuwa sio wote.

Itisha mkutano na wanahabari na uweke wazi mambo.
Alikuwa spika wa kwenye media au spika wa Bunge?
 
Mhe. Ndugai kwa maoni yangu hana kosa. Kuhoji kama Mtanzania ana kosa gani. Suala hili lilikuzwa kwenye magazeti, mitandao ya kijamiii na hii imemfanya Mhe. Ndugai kujiuzulu.
Kuhoji sio kosa kama na wewe unaamini kwamba MTU yeyote kuhoji sio kosa !!!
 
Mpaka sasa kuna wingu kubwa sababu ya Ndugai kusakamwa na mpaka akajiuzulu. Kama kuhoji juu ya mkopo wa tril 1.3 huku kuna tozo za miamala haukuwa na kosa. Maana ulihoji kama Spika na mtanzania.

Kama una nia ya kugombea urais napo hauna kosa maana ni haki yako ya kikatiba.

Sasa, watanzania wanataka kufahamu ukweli, nini tatizo mpaka mkuu wa Ccm na wanaccm wakakusakama japokuwa sio wote.

Itisha mkutano na wanahabari na uweke wazi mambo.
NDUGAI kasema Tatizo ni Mikopo Wewe ndio unasema URAIS

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mpaka sasa kuna wingu kubwa sababu ya Ndugai kusakamwa na mpaka akajiuzulu. Kama kuhoji juu ya mkopo wa tril 1.3 huku kuna tozo za miamala haukuwa na kosa. Maana ulihoji kama Spika na mtanzania.

Kama una nia ya kugombea urais napo hauna kosa maana ni haki yako ya kikatiba.

Sasa, watanzania wanataka kufahamu ukweli, nini tatizo mpaka mkuu wa Ccm na wanaccm wakakusakama japokuwa sio wote.

Itisha mkutano na wanahabari na uweke wazi mambo.
Hutasikia tena akiitisha press zake hizo ile taasisi one nguvu sana
 
Za chinichini ni kwamba baada ya kupokea huo mkopo,400b zilienda zenji kinyamela kitu kilichomkwaza ndoga
 
Huo ujasiri hana hata kidogo. Nchi hii majasiri tuko wawili tu. Mimi na braza Antipas M Lissu hawa wengine sijui akina Nape hamna kitu si mliona wenyewe aliufyata mbele ya bastola. Sasa JN ile mipasho tu imeshamweka kitandani na hawezi zungumza tena maisha yake yote
 
Mpaka sasa kuna wingu kubwa sababu ya Ndugai kusakamwa na mpaka akajiuzulu. Kama kuhoji juu ya mkopo wa tril 1.3 huku kuna tozo za miamala haukuwa na kosa. Maana ulihoji kama Spika na mtanzania.

Kama una nia ya kugombea urais napo hauna kosa maana ni haki yako ya kikatiba.

Sasa, watanzania wanataka kufahamu ukweli, nini tatizo mpaka mkuu wa Ccm na wanaccm wakakusakama japokuwa sio wote.

Itisha mkutano na wanahabari na uweke wazi mambo.
Mbona unataka kumkaanga, bado ni mbunge kwa tiketi ya CCM.
 
Mpaka sasa kuna wingu kubwa sababu ya Ndugai kusakamwa na mpaka akajiuzulu. Kama kuhoji juu ya mkopo wa tril 1.3 huku kuna tozo za miamala haukuwa na kosa. Maana ulihoji kama Spika na mtanzania.

Kama una nia ya kugombea urais napo hauna kosa maana ni haki yako ya kikatiba.

Sasa, watanzania wanataka kufahamu ukweli, nini tatizo mpaka mkuu wa Ccm na wanaccm wakakusakama japokuwa sio wote.

Itisha mkutano na wanahabari na uweke wazi mambo.
Ndugai tunayemjua kwa sasa hana nguvu ata ya kwenda chooni kujisaidia yeye mwenyewe, eti atoke nje atafute muandishi wa habari
 
Hawezi kufanya hivyo unavyotaka sababu alijiuzuru kwa bunduki pembeni. Akifanya hivyo unavyotaka tegemea breaking news muda wote mtu kafa.
 
Back
Top Bottom