Job Ngugai, Spika aliyejiuzulu atalipwa 80% ya Mshahara wa Spika maisha yake yote

Hela siyo kila kitu mkuu kwa mtu kama Job kitovaa lile joho hata umpe milioni ngapi hatokuwa sawa. Huyu atakufa very soon alijiweka kwenye level ya Miungu wa chache wa dunia hii
 
Huyo anarudi kwenye Baraza jipya la Mawaziri. Sema tu Safari hii hstakua na king'ora.
NB: Spika Makonda, Paul
 
Mzigo kwa taifa ni mkubwa mno.
1. Mwinyi
2. Kikwete
3. Msuya
4. Lowasa
5. Pinda
6. Malecela
7. Makinda
8. Warioba
9. Ndugai
10. Sheni
11. Bilali
12. Majaji
13. Mabrigedia
n.k
Ndio maana sisiyemu wanataka kuendelea kubakia madarakani.

Sahivi tunaongeza spika mwingine wa miaka 3 ila atalipwa kama spika wa miaka 10 maisha yake yote
 
Ndio hivyo mkuu hata Lowasa yote hayo anayo na walinzi juu..Kikubwa ameshakatwa sauti ya mamlaka .
 
Mzigo kwa taifa ni mkubwa mno.
1. Mwinyi
2. Kikwete
3. Msuya
4. Lowasa
5. Pinda
6. Malecela
7. Makinda
8. Warioba
9. Ndugai
10. Sheni
11. Bilali
12. Majaji
13. Mabrigedia
n.k
Makamishina wa vyombo vya ulinzi na usalama mambo ya ndani.
 
Je unajua baada ya Ndugai kujiuzulu;

1.Atakuwa akilipwa 80% ya mshahara wa spika aliyepo bungeni maisha yake yote.

2.Gari Jipya VX V8 litakuwa lake binafsi

3.Dereva atakayelipwa na Serikali kwa maisha yake yote

4.Mafuta ya gari Lita 70 kila wiki

5.Kiinua mgongo 50% ya fedha aliyowahi kulipwa mshahara alipokuwa spika

6.Bado atakuwa na maslahi ya ubunge mpaka wana kongwa watakapomchoka.

Chanzo: #Clouds360 live kutoka Mtwara
 
Naenda kugombea u spika, au vipi ma nigga?
 
Dah, so ndo mtunga sheria, ndo aliyojitengenezea,

Na bado ana kinga kutoshtakiwa popote,, ningekuwa mm yeye hata ubunge ningeachia tu nikampuzike kabisa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…