Joe Biden akichaguliwa anaweza kusaidia kuleta mageuzi ya kisiasa Tanzania baada ya "uchaguzi"

Kwa hiyo wewe unaombea Tanzania iwekewe vikwazo?
Kwa akili kama hizi unategemea kuna mtanzania mwenye akili timamu atawaunga mkono?
Ni akili mbovu sana... uzuri Wanaota wataamka tu baadae watajua kuwa TZ ni wakati wa Maendeleo... yatakayoletwa hivi karibuni.
 
Dudu Jeupe nilikuwa nakusalimia tu
 
Mtanzania anapojifanya mjuaji kuwasemea wamarekani
 
Biden atafuta kauli zote za serikali ya Trump... so hawezi fanya lolote kuikandamiza TZ ila ninachoHOFIA anaweza Kuilazimisha TZ kuhusu lockdown na kulazimisha watu kupigwa chanzo yenye RFID chip ila hata hivyo ni kwenye mwaka ujao marekani watafanyiwa MANDATORY VACCINATION this is very terrible.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…