Tatizo huwa mnabugia kinyesi cha habari za cnn ambazo zina mlengo wa kipropaganda zaidi.
Naomba ikuingie akilini ikibidi uiingize kwa sindano "TRUMP YUPO KWAJILI YA MAREKANI MPAKA 2024"
Biden hawezi kushinda, Katika miaka yake 47 serikalini hakuna alichofanya kinachomfikia trump ambae ana miezi 47 serikalini.
Kitu pekee biden alichofanya ni kuisaliti marekani, ila kwa taka taka hizi za cnn wanaficha.
Yani biden huyu anaesumbuliwa na ubaguzi wa rangi nyeusi pamoja na matatizo ya afya ya akili atawezaje kwa mfano kuingia white house, NEEVER!!!!