Joe Biden akichaguliwa anaweza kusaidia kuleta mageuzi ya kisiasa Tanzania baada ya "uchaguzi"

Joe Biden akichaguliwa anaweza kusaidia kuleta mageuzi ya kisiasa Tanzania baada ya "uchaguzi"

Kwa hiyo wewe unaombea Tanzania iwekewe vikwazo?
Kwa akili kama hizi unategemea kuna mtanzania mwenye akili timamu atawaunga mkono?
Ni akili mbovu sana... uzuri Wanaota wataamka tu baadae watajua kuwa TZ ni wakati wa Maendeleo... yatakayoletwa hivi karibuni.
 
Tatizo huwa mnabugia kinyesi cha habari za cnn ambazo zina mlengo wa kipropaganda zaidi.

Naomba ikuingie akilini ikibidi uiingize kwa sindano "TRUMP YUPO KWAJILI YA MAREKANI MPAKA 2024"

Biden hawezi kushinda, Katika miaka yake 47 serikalini hakuna alichofanya kinachomfikia trump ambae ana miezi 47 serikalini.

Kitu pekee biden alichofanya ni kuisaliti marekani, ila kwa taka taka hizi za cnn wanaficha.

Yani biden huyu anaesumbuliwa na ubaguzi wa rangi nyeusi pamoja na matatizo ya afya ya akili atawezaje kwa mfano kuingia white house, NEEVER!!!!
Dudu Jeupe nilikuwa nakusalimia tu
 
Tatizo huwa mnabugia kinyesi cha habari za cnn ambazo zina mlengo wa kipropaganda zaidi.

Naomba ikuingie akilini ikibidi uiingize kwa sindano "TRUMP YUPO KWAJILI YA MAREKANI MPAKA 2024"

Biden hawezi kushinda, Katika miaka yake 47 serikalini hakuna alichofanya kinachomfikia trump ambae ana miezi 47 serikalini.

Kitu pekee biden alichofanya ni kuisaliti marekani, ila kwa taka taka hizi za cnn wanaficha.

Yani biden huyu anaesumbuliwa na ubaguzi wa rangi nyeusi pamoja na matatizo ya afya ya akili atawezaje kwa mfano kuingia white house, NEEVER!!!!
Mtanzania anapojifanya mjuaji kuwasemea wamarekani
 
Biden atafuta kauli zote za serikali ya Trump... so hawezi fanya lolote kuikandamiza TZ ila ninachoHOFIA anaweza Kuilazimisha TZ kuhusu lockdown na kulazimisha watu kupigwa chanzo yenye RFID chip ila hata hivyo ni kwenye mwaka ujao marekani watafanyiwa MANDATORY VACCINATION this is very terrible.
 
Back
Top Bottom