Joe Biden: Kuna tishio la moja kwa moja la nyuklia kutoka Urusi

Joe Biden: Kuna tishio la moja kwa moja la nyuklia kutoka Urusi

Google iko wapi? In real sense unaamini kila kitu unachosoma Google mkuu! Hasa kwenye sensitive information kama hizi? Kuna information huwa zinatolewa makusudi kabisa tu mislead people! Hasa za military!
Sitaki kukurudisha nyuma katika serikali ya US walitoa information za uongo kabisa wakati wa Vita vya kuvamia Kuwait! Kuwa majeshi yao yatatokea wapi! Walipeleka manowari zao za kivita karibu na Kuwait, weka kwenye News nk! Lakini wote tunajua Marekani haikuingilia hapo!
In short don't trust Google! Unapewa unachotaka ufahamu au uamini!

Google pulls some map images at Pentagon's request​

By Kristin Roberts, Eric Auchard
3 MIN READ

WASHINGTON/SAN FRANCISCO (Reuters) - Google Inc has complied with a request by the Pentagon to remove some online images from its street-level map service because they pose a security threat to U.S. military bases, military and company officials said on Thursday.
Gen. Gene Renuart, head of the military command responsible for homeland defense, said the Pentagon had talked to Google about the risks and expected the company to cooperate in removing selected images from its Street View service.

“We have been contacted by the military,” Google spokesman Larry Yu said. “In those instances where they (the U.S military) have expressed concerns about the imagery, we have accommodated their requests.”

The Defense Department, which is still studying how many images are available, has also banned Google teams from taking video images on bases.

“We’ve got to get a sense of what is there and see how we can mitigate it,” Renuart said.

But because many images were taken from public streets, the military may not have a legal right to request that videos be pulled."

Huu ni mfano tu kuwa kwenye mambo ya military usitegemee Google kukupa information accurately Si upande wa US au Russia...hapa wameiomba Google......kuna nyakati wanaachilia information ambazo si kweli ziingie kwenye search engine ili kuondoa / kuficha na kuangalia nani ana search hizo information!
 
images.jpeg


baada ya binadamu kuondoka duniani.
images.jpeg
 
Nuclear iliopigwa japani ni ndogo mara 700 ya mabomb ya sahivi. Na bomb la nuclear likipigwa hizo nchi msidhani mtapona, kinachoua ni nuclear fallout, ambapo upepo utabeba particle ambazo ni radio active hadi huku mnaanza kufa kwa radiation toxicity. Sasa nyie furahieni tu Kwamba wapige tu.
Huwa wanajaribia haya mabomu dunia ipi?
 
Wenzake wanaweza kumpeleka mwenyewe na ujinga wake kwa jinsi maisha yalivyo matamu.
Kwa upendo unaoendelea Ukraine, ninaamini kabisa hakuna mtu anayeufurahia. Hakuna uzalendo mbele ya kukosa furaha ya maisha.
 
Nimehangaika youtube kupata clean footage ya nuclear lakini nyingi ni low quality.
Russia piga hizo nuke watu tupate kuona nuclear in HD, ngoja ninunue bando kabisa special kwa ajili ya kustream nuclear live in youtube.
 
Mkuu kitendo cha putin kutumia nuke ni sawa na kutoboa meli ili hali yeye mwenyewe yupo katika meli iyo iyo
Ukisema hivyo ni sawa.Tukiwa katikati ya bahari akatokea mmoja wetu anataka kufanya hivyo inabidi tuzungumze naye hasa akiwa yeye ana vifaa vya kufanya hiyo kazi na amejitenga kwenye hilo jahazi.Tusikurupuke kufukuzana naye au kumtukana.
 
Balaa tupu marekani kamwongezea nguvu Ukraine sasa putin anashindwa, anaona bora wote wakose
Ah! Sasa kama anashindwa anasubiri nini? Hiyo ni vita bhana silaha yoyote itumike. Nyuklia sio ya maonyesho. Mwache Puttin aipige kiberiti dunia.
 
Ah! Sasa kama anashindwa anasubiri nini? Hiyo ni vita bhana silaha yoyote itumike. Nyuklia sio ya maonyesho. Mwache Puttin aipige kiberiti dunia.
Maneno yako yanatisha.Siku ikiripuka wengi hatutoonana tena hapa.Tutakutana kuzimu kwa walo wema tutapata muda kusimuliana na wengine tutaonana kwa mbali wakilia bila kikomo.
 
Maneno yako yanatisha.Siku ikiripuka wengi hatutoonana tena hapa.Tutakutana kuzimu kwa walo wema tutapata muda kusimuliana na wengine tutaonana kwa mbali wakilia bila kikomo.
Sio vita mkuu NI SMO
 
Nakuhakikishia, Urusi anaweza piga nuclear Ukraine na sio US tu wala NATO atakayeweza kujibu kwa nuclear dhidi ya Urusi. Hilo nina hakika kwa 100%

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kama mimi nilivyo na uhakika, licha ya uwezo wote wa Kinuklia, Putin sio kichaa wala mwendawazimu, hatatumia kabisa Nuclear, ana njia nyingi za kumaliza Vita hii, Nuclear wala sio option! Anajua haimwachi salama hata yeye! HANA UKICHAA HUO! Na Marekani pia, huu sio mzozo mama wa kuiingiza Katia Vita vya Nuclear!
 
Urusi imesema hivyo na Marekani imesema imeshajua si utani.
Kusema sio utani, ndio imefanya kuwa ni utani, Putin uwe unamkubali au la, simwoni kabisa ana guts kwa Vita hii kuanzisha nuclear war.Ila kwa usemi wake Marekani haikuwa na la kujibu, bali ni kusema tunajua sio utani!
Winter inakuja itatatoa majibu mengi sana, logistics na general mobility ya askari italazamisha silaha nzito zaidi zitumike pande zote! Labda wanaoamini Nuclear kutumika wasubiri hapo.
 
Taarifa nazo huwa Ni ugonjwa punguzeni kuambukizana ikiwa hamna taarifa zenu binafsi
 
Lisemwalo lipo, kama halipo linakuja. Marekani huyu huyu ndie aliyetahadharisha kwamba Urusi itaivamia Ukraine na kweli ikatokea. Sasa kuna uwezekano mkubwa kwamba nyuklia itatumiwa kama aonavyo Marekani. Cha msingi ni kumuomba Mungu ikitumika madhara yake yasitufikie. Inategemea itaelekezwa wapi. Washington yenyewe ikizingua inatumiwa kitu kisichozuilika.
Mbona husemi Nuclear inakuja kama asemavyo Putin? Na kasema hatanii! Unajua maana ya neno bluff?
 
Kweli kabisa. Katika Vita ya nyuklia hakutakuwa na mshindi. Wote tutaangamia kama dinosaur. Hii inaitwa vita ya kichaa aka MAD, Mutual Assured Destruction
Mkuu wengine wanaona Putin ndio mshindi! Inakuwa kama ndio pekee ana silaha hizo! Lakini wengine wanataka destruction tu! Wote tuharibikiwe! Walio mbele warudi zero! Wote tuanze moja!
 
Back
Top Bottom