Joe Biden: Kuna tishio la moja kwa moja la nyuklia kutoka Urusi

Joe Biden: Kuna tishio la moja kwa moja la nyuklia kutoka Urusi

Hatuna cha kusaidia sisi.Hatua za mwanzo ni yeye Biden na wachokozi wenzake.
Mkuu Ami, nashindwa kabisa kusema Biden mchokozi kwa hili! Inabidi unipe shule hasa! Ukiwa mkorofi kwa lile sio lazima uwe na hili! Nimeona katika mada nyingine Marekani ndio kasababisha Hijab zitupwe Iran!
Anyway tukubalieni tunaangalia mambo kwa lensi tofauti sana! Natamani angalau kwa dakika moja nivae lensi yako !
 
Taarifa nazo huwa Ni ugonjwa punguzeni kuambukizana ikiwa hamna taarifa zenu binafsi
Mkuu Monroe, hatuna taarifa binafsi! Putin kaimbia dunia na wote tumesikia nini anataka kufanya! Na Mzee Biden kajibu, Tembo wapiganapo nyasi huumia, ndio hofu ya wengi!
 
Inabidi kila mmoja aanze kujinunulia jeneza mahali alipo; likiachiwa tu, kila mmoja aingie kwenye sanduku lake, hakuna atakayepona.
Boya ww, nyuklia ikifumuliwa sio Biden wala Putin atakaebaki ila wahuni tutaishi šŸ˜‚
 
Mkuu Ami, nashindwa kabisa kusema Biden mchokozi kwa hili! Inabidi unipe shule hasa! Ukiwa mkorofi kwa lile sio lazima uwe na hili! Nimeona katika mada nyingine Marekani ndio kasababisha Hijab zitupwe Iran!
Anyway tukubalieni tunaangalia mambo kwa lensi tofauti sana! Natamani angalau kwa dakika moja nivae lensi yako !
Mimi namwona ni mchokozi kwa ile ari yake ya kujitanua mpaka kwenye uwa wa nyumba ya jirani yako.Kwa lugha nyengine mtu anayetoka mbala akaja akashirikiana na jirani yako akunyang'anye nyumba yako.Na kwa nini huoni uchokozi wa Marekani anapohama kwake akaenda kuchonganisha ndugu wa korea na maeneo mengine duniani mpaka Somalia kafika.Anafuata nini kote huko kama si uchokozi.
 
Bomu limepigwa urusi mie sijapakana nao naathirika vipi?
Bomu la nyukia hapo juu limefafanuliwa hatari yake.Kama hujafahamu ni kuwa lina nguvu sana za kuharibu eneo kubwa kutoka kitovu la liliporipuliwa..Kila linapokuwa na uzito mkubwa na uharibifu unaongezeka. Madhara yake si kama haya mabomu ya kawaida,huwa yanaendelea vizazi na vizazi mbeleni kwa wale watakaobaki hai.Iwapo Ukraine inazalisha ngano nyingi.Basi muda huo hata wakitoa bure itakuwa hazifai kuliwa.
Naamini Putini yuko karibu kuiripua lakini lazima aangalie utabiri wa hali ya hewa ili siku akipiga mvuke usirudi ndani ya Urusi.Iwe ni siku upepo unaelekea Poland na mataifa mengine ya Ulaya.
 
Maombi yanahitajika sana wakuu mambo sio mazuri kwa usalama wa Dunia, inaonekana dhahiri kua putin atatumia nyuklia baada ya kuzidiwa nguvu.

---
Joe Biden has warned the world could face ā€œArmageddonā€ if Vladimir Putin uses a tactical nuclear weapon to try to win the war in Ukraine.

The US president made his most outspoken remarks to date about the threat of nuclear war, at a Democratic fundraiser in New York, saying it was the closest the world had come to nuclear catastrophe for sixty years.

ā€œWe have not faced the prospect of Armageddon since Kennedy and the Cuban missile crisis,ā€ he said.

ā€œWe’ve got a guy I know fairly well,ā€ Biden said, referring to the Russian president. ā€œHe’s not joking when he talks about potential use of tactical nuclear weapons or biological or chemical weapons because his military is, you might say, significantly underperforming.ā€

Putin and his officials have repeatedly threatened to use Russia’s nuclear arsenal in an effort to deter the US and its allies from supporting Ukraine and helping it resist the all-out Russian invasion launched in February. One fear is that he could use a short range ā€œtacticalā€ nuclear weapon to try to stop Ukraine’s counter-offensive in its tracks and force Kyiv to negotiate and cede territory.

If Russia did use a nuclear weapon, it would leave the US and its allies with the dilemma of how to respond, with most experts and former officials predicting that if Washington struck back militarily, it would most likely be with conventional weapons, to try to avert rapid escalation to an all-out nuclear war. But Biden said on Thursday night: ā€œI don’t think there’s any such thing as the ability to easily (use) a tactical nuclear weapon and not end up with Armageddon.ā€

ā€œFirst time since the Cuban missile crisis, we have the threat of a nuclear weapon if in fact things continue down the path they are going,ā€ the president said. ā€œWe are trying to figure out what is Putin’s off-ramp? Where does he find a way out? Where does he find himself where he does not only lose face but significant power?ā€

US intelligence agencies believe that Putin has come to see defeat in Ukraine as an existential threat to his regime, which he associates with an existential threat to Russia, potentially justifying, according to his worldview, the use of nuclear weapons.

Earlier on Thursday, Ukraine’s president, Volodymyr Zelenskiy said Putin understood that the ā€œworld will never forgiveā€ a Russian nuclear strike.

ā€œHe understands that after the use of nuclear weapons he would be unable any more to preserve, so to speak, his life, and I’m confident of that,ā€ Zelenskiy said.

Source: Biden warns world would face ā€˜Armageddon’ if Putin uses a tactical nuclear weapon in Ukraine
Biden kashachafua chupi nyingi sana toka Putin azungumzie Nuke Biden kila mda mavi yanagonga kyupi yanarudi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi namwona ni mchokozi kwa ile ari yake ya kujitanua mpaka kwenye uwa wa nyumba ya jirani yako.Kwa lugha nyengine mtu anayetoka mbala akaja akashirikiana na jirani yako akunyang'anye nyumba yako.Na kwa nini huoni uchokozi wa Marekani anapohama kwake akaenda kuchonganisha ndugu wa korea na maeneo mengine duniani mpaka Somalia kafika.Anafuata nini kote huko kama si uchokozi.
Mkuu Ami hii nadhani itakuja kuwa ni mada nyingine, maana umeiingiza matukio mengi ya Kihistoria! Kwa mfano tu Korea, huwezi kuuzungumzia mgawanyo huo ukamwacha Soviet Union! Wengi hawana historia hiyo.
Nashindwa kuelewa mfano wako wa jirani kuja kukunyang'anya nyumba yako! Nani kati ya Urusi na Ukraine ananyang'anya cha mwenzie!
Kama nilivyosema hizo ni mada ndefu, sasa hivi tungoje tu kama watazamaji tuone huu mvutano utafika wapi! Sidhani by May Next year hii vita itakuwepo! Aisha Urusi atakuwa kaimeza Ukraine, au Ukraine itakuwa imeisimamisha himaya yake!

By winter Urusi hata Ukraine pia wanajua itakuwa ni game changer! Second World War winter ili play part kubwa mno wote wakiwa ni Soviet Union! Mimi na wewe tuvute subira tu.Vita ikiisha tutarudia mada za uchokozi wa Marekani.
 
Back
Top Bottom