1881Okoza
JF-Expert Member
- Oct 3, 2022
- 693
- 949
Kwenda wapi? Au baada ya kupigwa Nuclear?š³
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda wapi? Au baada ya kupigwa Nuclear?š³
Mkuu Ami, nashindwa kabisa kusema Biden mchokozi kwa hili! Inabidi unipe shule hasa! Ukiwa mkorofi kwa lile sio lazima uwe na hili! Nimeona katika mada nyingine Marekani ndio kasababisha Hijab zitupwe Iran!Hatuna cha kusaidia sisi.Hatua za mwanzo ni yeye Biden na wachokozi wenzake.
Mkuu Monroe, hatuna taarifa binafsi! Putin kaimbia dunia na wote tumesikia nini anataka kufanya! Na Mzee Biden kajibu, Tembo wapiganapo nyasi huumia, ndio hofu ya wengi!Taarifa nazo huwa Ni ugonjwa punguzeni kuambukizana ikiwa hamna taarifa zenu binafsi
Boya ww, nyuklia ikifumuliwa sio Biden wala Putin atakaebaki ila wahuni tutaishi šInabidi kila mmoja aanze kujinunulia jeneza mahali alipo; likiachiwa tu, kila mmoja aingie kwenye sanduku lake, hakuna atakayepona.
Nyuklia inatumika kumkata ngebe mtu kiherehereMarekani mbona na yeye alitumia kule Japan? Vita ilimshinda?
Urusi itabakije majivu? Urusi ana bomu la kuangamiza Marekani kabla hata hawajafikia command centresšSio kujibu tu...Urusi itabaki majivu
Unajua kwa nini alitumia! Licha ya Second World War kuwa ukingoni, na ushindi ukiwa mkononi, maumivu ya Pearl Harbour yalikua hayajamtoka!Nyuklia inatumika kumkata ngebe mtu kiherehere
Tupe mbinu basi ya ku survive hiyo nuclear...Boya ww, nyuklia ikifumuliwa sio Biden wala Putin atakaebaki ila wahuni tutaishi š
Bomu limepigwa urusi mie sijapakana nao naathirika vipi?Tupe mbinu basi ya ku survive hiyo nuclear...
Ngoja Iipigwe ndiyo utajuwa.Bomu limepigwa urusi mie sijapakana nao naathirika vipi?
We muache tu aendelee kujifariji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja Iipigwe ndiyo utajuwa.
Mimi namwona ni mchokozi kwa ile ari yake ya kujitanua mpaka kwenye uwa wa nyumba ya jirani yako.Kwa lugha nyengine mtu anayetoka mbala akaja akashirikiana na jirani yako akunyang'anye nyumba yako.Na kwa nini huoni uchokozi wa Marekani anapohama kwake akaenda kuchonganisha ndugu wa korea na maeneo mengine duniani mpaka Somalia kafika.Anafuata nini kote huko kama si uchokozi.Mkuu Ami, nashindwa kabisa kusema Biden mchokozi kwa hili! Inabidi unipe shule hasa! Ukiwa mkorofi kwa lile sio lazima uwe na hili! Nimeona katika mada nyingine Marekani ndio kasababisha Hijab zitupwe Iran!
Anyway tukubalieni tunaangalia mambo kwa lensi tofauti sana! Natamani angalau kwa dakika moja nivae lensi yako !
Bomu la nyukia hapo juu limefafanuliwa hatari yake.Kama hujafahamu ni kuwa lina nguvu sana za kuharibu eneo kubwa kutoka kitovu la liliporipuliwa..Kila linapokuwa na uzito mkubwa na uharibifu unaongezeka. Madhara yake si kama haya mabomu ya kawaida,huwa yanaendelea vizazi na vizazi mbeleni kwa wale watakaobaki hai.Iwapo Ukraine inazalisha ngano nyingi.Basi muda huo hata wakitoa bure itakuwa hazifai kuliwa.Bomu limepigwa urusi mie sijapakana nao naathirika vipi?
Biden kashachafua chupi nyingi sana toka Putin azungumzie Nuke Biden kila mda mavi yanagonga kyupi yanarudi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maombi yanahitajika sana wakuu mambo sio mazuri kwa usalama wa Dunia, inaonekana dhahiri kua putin atatumia nyuklia baada ya kuzidiwa nguvu.
---
Joe Biden has warned the world could face āArmageddonā if Vladimir Putin uses a tactical nuclear weapon to try to win the war in Ukraine.
The US president made his most outspoken remarks to date about the threat of nuclear war, at a Democratic fundraiser in New York, saying it was the closest the world had come to nuclear catastrophe for sixty years.
āWe have not faced the prospect of Armageddon since Kennedy and the Cuban missile crisis,ā he said.
āWeāve got a guy I know fairly well,ā Biden said, referring to the Russian president. āHeās not joking when he talks about potential use of tactical nuclear weapons or biological or chemical weapons because his military is, you might say, significantly underperforming.ā
Putin and his officials have repeatedly threatened to use Russiaās nuclear arsenal in an effort to deter the US and its allies from supporting Ukraine and helping it resist the all-out Russian invasion launched in February. One fear is that he could use a short range ātacticalā nuclear weapon to try to stop Ukraineās counter-offensive in its tracks and force Kyiv to negotiate and cede territory.
If Russia did use a nuclear weapon, it would leave the US and its allies with the dilemma of how to respond, with most experts and former officials predicting that if Washington struck back militarily, it would most likely be with conventional weapons, to try to avert rapid escalation to an all-out nuclear war. But Biden said on Thursday night: āI donāt think thereās any such thing as the ability to easily (use) a tactical nuclear weapon and not end up with Armageddon.ā
āFirst time since the Cuban missile crisis, we have the threat of a nuclear weapon if in fact things continue down the path they are going,ā the president said. āWe are trying to figure out what is Putinās off-ramp? Where does he find a way out? Where does he find himself where he does not only lose face but significant power?ā
US intelligence agencies believe that Putin has come to see defeat in Ukraine as an existential threat to his regime, which he associates with an existential threat to Russia, potentially justifying, according to his worldview, the use of nuclear weapons.
Earlier on Thursday, Ukraineās president, Volodymyr Zelenskiy said Putin understood that the āworld will never forgiveā a Russian nuclear strike.
āHe understands that after the use of nuclear weapons he would be unable any more to preserve, so to speak, his life, and Iām confident of that,ā Zelenskiy said.
Source: Biden warns world would face āArmageddonā if Putin uses a tactical nuclear weapon in Ukraine
Kwani Marekani alishindwa vita alipokaitumia Hiroshima?Putin vita vimemshinda, akitumia nyuklia ataua watu wasiokua na hatia.
Mkuu Ami hii nadhani itakuja kuwa ni mada nyingine, maana umeiingiza matukio mengi ya Kihistoria! Kwa mfano tu Korea, huwezi kuuzungumzia mgawanyo huo ukamwacha Soviet Union! Wengi hawana historia hiyo.Mimi namwona ni mchokozi kwa ile ari yake ya kujitanua mpaka kwenye uwa wa nyumba ya jirani yako.Kwa lugha nyengine mtu anayetoka mbala akaja akashirikiana na jirani yako akunyang'anye nyumba yako.Na kwa nini huoni uchokozi wa Marekani anapohama kwake akaenda kuchonganisha ndugu wa korea na maeneo mengine duniani mpaka Somalia kafika.Anafuata nini kote huko kama si uchokozi.
marsKwenda wapi? Au baada ya kupigwa Nuclear?š³
eti bana.hata uki google tu unapata kujua aina za nuke na madhara yake hata uzi wa nuke humu jf upo.Kuna watu mnafikiri kombola la nyuklia likipigwa basi tunakufa wote hahaa waafrica wacha tuitwe waafrica