Joe Biden: Kuna tishio la moja kwa moja la nyuklia kutoka Urusi

Angekuwa Bush na Blair lazima kingenuka. Babu analalamika weee kama anatoka nchi za ulimwengu wa 3
 
Ngoja nichangie kwa baadhi tu:
Bomu kubwa kwa hivi Sasa ni SARMAT bomb lenye VICHWA kuanzia 28 na kila kimoja kina target yake. Hebu Google hiyo.
 
Hawa mashetani wakubwa ngoja lipigwe wote wafe stupid
 
Ngoja nichangie kwa baadhi tu:
Bomu kubwa kwa hivi Sasa ni SARMAT bomb lenye VICHWA kuanzia 28 na kila kimoja kina target yake. Hebu Google hiyo.
Bomu moja lina vichwa 28 na kila kichwa kimoja kinataget yake


Sawa lkn km likidondoka ulaya,urus na us madhara yake yanaweza fika hapa karume mchikichin???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…