Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nabii mkuu jamaa ana pesa ya kufa mtu, kashawapiga siku nyingi.Kweli wagalatia hawana akili utaskia wanamuita nabii mtumishi wa bwana na watafunga safari wakapate upako wa yesu
Hiyo ni promo mkuu, Millard mwenyewe hapo kashapigwa na bahasha ya kaki.Millard nae siku hizi 🚮, anawapaje airtime wapuuzi kama hawa???
Yaani Yesu akutokee akupe kazi kisha asikupe posho ya kukusaidia kwenye hiyo kazi?Kuna mlokole pia mtaani hapa kaja anasema Yesu amemtokea huko kwao morogoro eti aje dar kueneza injili, cha ajabu amekuwa mzigo kwa wenyeji.
kazi hafanyi kutwa kushinda anapayuka eti anaomba.
vijana wanamsubiri aanze kudanga wajilie vyao, maana anapenda sana kuomba hela kwa gia ya kusema eti "mungu atakuzidishia"
acha alete mazoea
Utapeli tuHivi watu uwa wanajuaje kuwa wametokewa na Yesu maana sura yake haipo wazi
🤣🤣🤣Saivi tupo na KUHANI MUSA
🤣🤣🤣
Jirani akikutokea usinisahau...Duh aiseee
Jirani akikutokea usinisahau...
Kumbe ni win-win?? Sikujua kama ni biashara mkuu 😅Hiyo ni promo mkuu, Millard mwenyewe hapo kashapigwa na bahasha ya kaki.
Manabii wa michongo wakijinasibisha wamemuona yesu wa michongo.
Muulize yeye kajuaje kuwa aliyemtokea ni yesu? Maana hakuna anayejua sura ya YesuKuna mlokole pia mtaani hapa kaja anasema Yesu amemtokea huko kwao morogoro eti aje dar kueneza injili, cha ajabu amekuwa mzigo kwa wenyeji.
kazi hafanyi kutwa kushinda anapayuka eti anaomba.
vijana wanamsubiri aanze kudanga wajilie vyao, maana anapenda sana kuomba hela kwa gia ya kusema eti "mungu atakuzidishia"
acha alete mazoea