Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
1-Lucas MwashambwaHuwezi kua na akili na ukaendele kuwepo sisiemu tusidanganyane hapa taja hata watu watatu tu unaoona wako timamu?
Tatizo hakuna chama mbadalaHuwezi kua na akili na ukaendele kuwepo sisiemu tusidanganyane hapa taja hata watu watatu tu unaoona wako timamu?
The return and rise of Namilison Kisandu ,I. Tanzania One (TO) mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Dr Joel Nanauka, anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama.
II. Hii ni kutokana na CV ya Dr Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi, kuzinfatia uwakilishi wa viongozi wakuu wa Chama na speeches pia kuvutia wapiga kura vijana (Gen Z) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.
NATASI ZA JUU Kwenye Chama na walipotokea.
Mwenyekiti - Unguja, (Dr.),
Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) - Unguja, Mkuranga.;(Dr.),
Makamu Mwenyekiti - Bara, (pendekezo) - Mtwara, (Dr.)
Katibu Mkuu - Ruvuma, (Dr.)
Katibu Mwenezi - Morogoro,
Mwaka Hazina (pendekezo) - Iringa - Mchg.
Soma Pia:
Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?
Ina maana wananchi wengine wamekufa?Hebu tafakari ulichokiandika.Tatizo hakuna chama mbadala
Nanauka siyo GEN Z... MTU ALIYEHITIMU KIDATO Cha nne mwaka 2003..ndo awe gen zzzzzzzzzzzz?Ccm wakifanya hivi watakuwa wamefanya jambo kubwa tangu tupate Uhuru maana Joel Nanauka ndo GenZ mwenye akili kuzidi vijana wote
tumempa ya heshima kama ya RaisPole sana chawa, kwanza hana phd so acha kumuita dr, and kaka joel ni mtu mwema sana, hawez jiingiza kwenye mambo kama hayo
Haitolewi na chama, wala watu random. Kuna utaratib na taasis maalumu si wewetumempa ya heshima kama ya Rais
Tunaamua tu anaapewa vyuo kibaoHaitolewi na chama, wala watu random. Kuna utaratib na taasis maalumu si wewe
HakikaTanzania ya Kijani
HakunaHuwezi kua na akili na ukaendele kuwepo sisiemu tusidanganyane hapa taja hata watu watatu tu unaoona wako timamu?
kumrithi bila kuomba na kujaza fomu 😏I. Tanzania One (TO), mwandishi wa vitabu na motivation speaker Nguli duniani Dr Joel Nanauka (PhD), anatajwa kumrithi Mheshimiwa Kinana kama Makamu Mwenyekiti wa Chama (Bara).
II. Hii ni kutokana na CV ya Dr Joel Nanauka na uzoefu wake katika uandishi, kuzingatia uwakilishi wa viongozi wakuu wa Chama na speeches za kuvutia wapiga kura vijana (Gen Z) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025.
NAFASI ZA JUU Kwenye Chama na walipotokea.
Mwenyekiti - Unguja, (Dr.),
Makamu Mwenyekiti (Zanzibar) - Unguja, Mkuranga.;(Dr.),
Makamu Mwenyekiti - Bara, (pendekezo) - Mtwara, (Dr.)
Katibu Mkuu - Ruvuma, (Dr.)
Katibu Mwenezi - Morogoro, CPA.
Mweka Hazina (pendekezo) - Iringa - Mchg. Dr. Msigwa
Soma Pia:
Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Nani atakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM baada ya Kinana kujiuzulu?