and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Ndugu zangu wafanya mazoezi pembezoni mwa barabara. Chukueni tahadhari hususani wakati wa alfajiri na jioni/usiku.
Nimepoteza rafiki wawili (mmoja Dar mwingine Mtwara) kwa ajali wakiwa mazoezini. Wameacha familia changa mno.
Wakati mzuri wa kufanya mazoezi ya kukimbia huwa ni asubuhi au jioni, na mida hii mara nyingi kunakuwa na magari mengi sana barabarani, mfano, kuna magari unakuta ana taa moja tu, boda pia ni majanga mara nyingi katika kujihami na magari anakuja mpaka pembeni kabisa kwenye chaki,
Kuna magari yana overtake, hapa nadhani wanaokimbia watakuwa wananielewa nini huwa kinatokea, kuna boda nyingine hazina taa zenye mwanga wa kutosha, kuna wanaotembea na full light unaweza kumulikwa ukopoteza muelekeo,
Kuna boda boda zina beba mizigo mikubwa unaweza kuhisi yuko peke yake kumbe mzigo unatokeza pembeni, ni hatari sana kwakweli, kuweni makini.
Pia, Barabara nyingi sehemu za waenda kwa miguu ndio parking hizo hizo, boda boda humohumo
Vile vile Wakimbiaji wengi hawajali usalama wao barabarani wala kuchukua tahadhari. Unakuta mtu anakimbia akiwa amevaa headphones masikio yote mawili na sauti kaweka hadi mwisho, kiasi cha kushindwa kusikia honi za vyombo vya moto
Kama unaweza bora ukimbie kwenye uwanja maalumu kama wa mpira, ulio karibu na makazi yako kwa kuwa ukiachana na ajali
huo moshi unaovutwa na wanamazoezi huku wanapumulia mdomo ni janga lingine
Kama unalazimika kukimbia barabarani, Kimbia in opposite direction na uelekeo wa magari,,kaa upande wa magari yanayokuja mbele yako
NB: Lipia gym uwe salama
Nimepoteza rafiki wawili (mmoja Dar mwingine Mtwara) kwa ajali wakiwa mazoezini. Wameacha familia changa mno.
Wakati mzuri wa kufanya mazoezi ya kukimbia huwa ni asubuhi au jioni, na mida hii mara nyingi kunakuwa na magari mengi sana barabarani, mfano, kuna magari unakuta ana taa moja tu, boda pia ni majanga mara nyingi katika kujihami na magari anakuja mpaka pembeni kabisa kwenye chaki,
Kuna magari yana overtake, hapa nadhani wanaokimbia watakuwa wananielewa nini huwa kinatokea, kuna boda nyingine hazina taa zenye mwanga wa kutosha, kuna wanaotembea na full light unaweza kumulikwa ukopoteza muelekeo,
Kuna boda boda zina beba mizigo mikubwa unaweza kuhisi yuko peke yake kumbe mzigo unatokeza pembeni, ni hatari sana kwakweli, kuweni makini.
Pia, Barabara nyingi sehemu za waenda kwa miguu ndio parking hizo hizo, boda boda humohumo
Vile vile Wakimbiaji wengi hawajali usalama wao barabarani wala kuchukua tahadhari. Unakuta mtu anakimbia akiwa amevaa headphones masikio yote mawili na sauti kaweka hadi mwisho, kiasi cha kushindwa kusikia honi za vyombo vya moto
Kama unaweza bora ukimbie kwenye uwanja maalumu kama wa mpira, ulio karibu na makazi yako kwa kuwa ukiachana na ajali
huo moshi unaovutwa na wanamazoezi huku wanapumulia mdomo ni janga lingine
Kama unalazimika kukimbia barabarani, Kimbia in opposite direction na uelekeo wa magari,,kaa upande wa magari yanayokuja mbele yako
NB: Lipia gym uwe salama