Sawa jogoo kishingo kuifunga spurs tu anahangaika ataiweza Barca?Endelea kuota. Barca anapigwa nje ndani..
Ajax mpira wao unaendana na wa Manchester UnitedKwanini unasema kuwa mpira wanaocheza ajax ndo huohuo wanaocheza barcelona??..mbona hamna ufanano wowote zaidi ya sisi kukariri maisha??
Unafikir ilo tatizo hawajalipatia ufumbuzi?Ninachokiona Liver lazima apate goal(s) ugenini na akifungwa tofauti haitozidi goal moja.
Barca anapokutana na team ambayo hukabia juu hupata shida sana kwakuwa wao wanajenga mashambulizi kuanzia kwa goalkeeper. Kwangu mie Barca atatolewa
Sistaduu simu namkatia nikimkaza she's brainlessNasinzia nikikuwaza NAMELESS
Unaonge kama mke wa larse shoneYap!
Totenham watafanya yao ugenini na kuacha msiba mzito.
Man city anajua ninachosema.
Acha kuifananisha Ajax na timu za kijinga hv mpira anaopiga ajax unaweza kuufananisha na manchester united au umekesha kwenye mwenye?Ajax mpira wao unaendana na wa Manchester United
Hahahaha Dr unju naliamsha dude/Sistaduu simu namkatia nikimkaza she's brainless
Nimegundua watu wengi mpira awajui, hv kwa mpira anaocheza liver anaanzaje kufungwa na barcelona kwa mfano?Barca ni mchovu sana kwa liverpool, yule anapigwa nje ndanoli.
Wewe mhaya acha zako kwa mpira gani Barcelona amfunge liver kwanza anaanzia wapi na kivipi labda?Leo Messi 10 atachinja mtu
Wewe mhaya acha zako kwa mpira gani Barcelona amfunge liver kwanza anaanzia wapi na kivipi labda?
Ata aingie Son na Kane kwa pamoja hawana uwezo wa kubadili matokeo kule Amsterdam kamwe.Yap!
Totenham watafanya yao ugenini na kuacha msiba mzito.
Man city anajua ninachosema.
Wewe jamaa nikiwachapa leo itabidi uninunulie K vant kubwa moja maana naona unajiaminisha sana.Wait for moment
Ndio maana haiitwi pantherblack.....ni blackpanther.....pale ni CAMP NOU....sio Nou Camp!!Camp Nou
Alishindwa kutuchinja akiwa na miaka 19 ataweza now yuko Babu na Suarez ana kitambiWewe mhaya acha zako kwa mpira gani Barcelona amfunge liver kwanza anaanzia wapi na kivipi labda?
Wait and see leoNimegundua watu wengi mpira awajui, hv kwa mpira anaocheza liver anaanzaje kufungwa na barcelona kwa mfano?
Historia ipo ili ivunjweHatujawahi fungwa CAMP NOU milele
Nikajua utagawa K mtaa mzimaWewe jamaa nikiwachapa leo itabidi uninunulie K vant kubwa moja maana naona unajiaminisha sana.