Jogoo anachinjwa leo asubuhi tu pale Nou Camp

Jogoo anachinjwa leo asubuhi tu pale Nou Camp

Tumeona Jana aina ya soka ya england inavyoshindwa kutamba mbele ya style ya mchezo wa ajax ambao ndio hasa wanacheza aina ya Mpira wa Barcelona.

Kwa walivyosumbuka Spurs ndivyo ndugu zao watakavyo sumbuka Leo

Na hapo ndiyo tunaendelea kuthibitisha kuwa EPL sio ligi bora duniani

Tuanze tu kuiweka vichwani fainali ya Mei 19 kuwa ni Ajax vs Barcelona.
Hiyo fainali ya Mei 19 uliandaa wewe na familia yako???? Mtu huna uhakika na unachokiandika halafu unapost kwa uhakika!!! Full ujinga na ushamba!!!
 
Lets be open naona watu wanaleta mahaba hapa. Liverpool kwa mpira wanaocheza Barcelona watatoa ulimi nje mapema kabisa,liver wana mpira wakasi sana beki line imala kabisa forward ya hatari kabisa. Ukiniuliza mm nitakwambia baka kaisha toka. Fainali naiona Ajax na liver kule Madrid.
Time will tell
 
Hiyo fainali ya Mei 19 uliandaa wewe na familia yako???? Mtu huna uhakika na unachokiandika halafu unapost kwa uhakika!!! Full ujinga na ushamba!!!
Messi hajawahi kosea pale camp nou
tapatalk_1556357514553.jpeg
 
Bado kwa sehemu kubwa naamini Ajax ana kibarua kigumu mno kwake, Tot a a nafasi ya kufuzu.

Sioni Liverpool kama ataweza kuondoka Camp Nou chini ya goli 3 endapo Messi akacheza 90 minutes.

Messi lazima awanyooshe hao vizee..

BARCA 2-0
 
Baada ya final ya liverpool na madrid

Niliidharau sana liverpool na kuwaona hawana bahat wanapokuwa spain


So leo haponi kwa namna yeyote
 
Ndio maana haiitwi pantherblack.....ni blackpanther.....pale ni CAMP NOU....sio Nou Camp!!
Either way..

Ukisema Nou Camp au Camp Nou ni sawa. Watanzania acheni kuwalisha wenzenu matangopoli
 

Attachments

  • Screenshot_20190501-191313.png
    Screenshot_20190501-191313.png
    247.6 KB · Views: 17
Back
Top Bottom