Jogoo anachinjwa leo asubuhi tu pale Nou Camp

Hiyo fainali ya Mei 19 uliandaa wewe na familia yako???? Mtu huna uhakika na unachokiandika halafu unapost kwa uhakika!!! Full ujinga na ushamba!!!
 
Time will tell
 
Bado kwa sehemu kubwa naamini Ajax ana kibarua kigumu mno kwake, Tot a a nafasi ya kufuzu.

Sioni Liverpool kama ataweza kuondoka Camp Nou chini ya goli 3 endapo Messi akacheza 90 minutes.

Messi lazima awanyooshe hao vizee..

BARCA 2-0
 
Baada ya final ya liverpool na madrid

Niliidharau sana liverpool na kuwaona hawana bahat wanapokuwa spain


So leo haponi kwa namna yeyote
 
Ndio maana haiitwi pantherblack.....ni blackpanther.....pale ni CAMP NOU....sio Nou Camp!!
Either way..

Ukisema Nou Camp au Camp Nou ni sawa. Watanzania acheni kuwalisha wenzenu matangopoli
 

Attachments

  • Screenshot_20190501-191313.png
    247.6 KB · Views: 17
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…