kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Ni jambo la ajabu sana sikuwahi kusikia. Ila kuna jogoo anasumbua sana. Anawika muda huu. Hivi hii ni kawaida kweli?
Ningekuwa mmiliki ningemchinja akawa kitoweo, anafanya ujinga sana
Ningekuwa mmiliki ningemchinja akawa kitoweo, anafanya ujinga sana