Jogoo hasimami asubuhi

Mimi sioni tatizo sababu kitu kiketokea asubuhi akaona aombe ushauri, hakuna muda maalum wa kupost vitu JF, ila kama inakukera pia unaweza kupita kimyakimya bila kuchangia , povu veepe jombaa
Inaelekea unapenda majogoo yakiamka asubuhi asubuhi,sisi tunaamshaa saa zote sio asubuhi tuu,lakin hatusemi
 
sijawahi kutilia shaka michango yako humu jukwaani, unaonesha ulivyo smart kwenye kila uchangiaji wako. I will find a way to reach you.
 
Papuchi inawikaje jamani hebu tuambieni nyie mnaochangia mada za kiume
 
Nina Mwez Na Nusu Sasa Kila nikiamka Asbhi Jogoo Wangu Kalala Tu Tofaut Na Huko Nyuma....Ushaur Cha Kufanya Hapa Kabla Sijaadhirika Mwenzenu.
nani alikwambia ukiamka lazima jogoo awe amesimama?
 
Mimi huwa nikiangalia porn videos nadisa sana mpaka nikiwa natembea inakua imesimama
 
Nina Mwez Na Nusu Sasa Kila nikiamka Asbhi Jogoo Wangu Kalala Tu Tofaut Na Huko Nyuma....Ushaur Cha Kufanya Hapa Kabla Sijaadhirika Mwenzenu.
Mkuu unaamkaga sangapi asubuh? inawezekana wakati jogoo anawika wewe upo usingizini......
 
kunywa maziwa mgando kama wiki atasimama fasta hutaamini!!!
 
Mkuu Dah! Pole sana Mimi ni Victim Kama Wewe!! Mkuu Mwanzo Nilikuwa Nikigonga tu Demu basi Napiga Double-Double Mpaka Demu tafrani Kitandani Anadai Likizo Mwenyewe!

Na Alfajiri Mtu Mzima Dedee!! Lakini si Nikaja Nikaingia Kwenye Kupiga Puli Na Kuangalia Porno, Ona Sasa Nuksi iliyonikumba! Naitafuta Double Wapi!! Alfajiri Dede iko wapi!! Kwisha Habari yangu, Bao Moja tu Chali..

Nimeamua Kuacha Kupiga Chaputa/Puli, Sasahivi Ndiyo Kidogo Naanza Kujirecover.
 

Kwanini ulianza puli wakati ulishakuwa na mademu au walikimbia hizo double double?
 
Kwanini ulianza puli wakati ulishakuwa na mademu au walikimbia hizo double double?
Mkuu Nilikuaga Na Demu Mmoja Hivi, Alikuwa Anapendaga Sana Kunifanyisha Huo Mchezo Kabla ya Kumgonga Mpaka Nikawa Addicted.
 
Ni kijana 27 yrs, hilo tatizo limenikumba mwezi na nusu sasa. Kila ninapoamka asubuhi jogoo kalala tu imefika wakati naogopa kukutana na mtu wangu nikiogopa kudhalilika. Msaada tafadhali
Cc: MziziMkavu
Pole sanakijana nitafute nikutibie upate kupona
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Mkuu trigeminal nitajuaje ya kuwa uume umesimama mara 3-5 kwa usiku mmoja hali ya kuwa nimelala usingizi?.Mimi mara nyingi huwa najikuta siku nyingine nikiamka asubuhi saa 5.40 a.m na kuendelea nimesimamisha ila huo usiku sina uhakika. tuchangie uzoefu hapa tafadhali!!
 
Hapo kuna kifaa maalum ambacho hufungwa kwenye uume na kurekodi uongezekaji wa size ya uume kwa usiku mzima.Ila hata ile kukuta iko vizuri asubuhi ni dalili njema, sasa ukiwa na mashaka ndipo itabidi uhudhurie hospitali upimwe kwa hicho kifaa, ila kibongobongo hatujafikia huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…