Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Amakweli mwenye bahati habahatiki, sie wengine hua hatukutani na bahati Kama hizi..😒Mkuu wewe huoni ndo umezalilika hapo where is your manhood ooh, pole najua utakosa Raha leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amakweli mwenye bahati habahatiki, sie wengine hua hatukutani na bahati Kama hizi..😒Mkuu wewe huoni ndo umezalilika hapo where is your manhood ooh, pole najua utakosa Raha leo
AsanteShukuru Mungu. Leo ndiyo ilikuwa siku yako ya kupata UKIMWI umpelekee na mkeo wote muanze kufakamia ma ARVs mfubae kama ngozi ya magotini. Leo Mungu Amekuokoa. Ukifika home ingia bedroom, piga sala ya nguvu, kemea hilo pepo na wife akija kuangalia kinachoendelea kamata halafu mpelekee moto wa uhakika. Tena lia kabisa leo ukiweza. Pambafu [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]Inakuwaje mpaka ikasimamie gest!? Mie nikipigiwa simu tu "bby nakuja kesho" nipo njiani, tukutane pale kwa siku zote, tayari boro yeung anagangamala kama jiti.. [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Inakuwaje mpaka ikasimamie gest!? Mie nikipigiwa simu tu "bby nakuja kesho" nipo njiani, tukutane pale kwa siku zote, tayari boro yeung anagangamala kama jiti.. [emoji23]
Hivi Cofta bado zipo? [emoji16][emoji16][emoji16]Kawaida sana hiyo inatokea.
Next time ikitokea hivyo zuga hata pressure imeshuka gafla jifanye mgonjwa meza hata kofta ilimradi kunusuru heshima ya boma.
Una bahati ka hayajakukutaAmakweli mwenye bahati habahatiki, sie wengine hua hatukutani na bahati Kama hizi..[emoji19]
Ishanitokea kwa demu mmoja mara mbili mashine imegoma kusimama, mpaka demu anashangaa, na leo tena kaja gheto nilimpania ila kaja na mwanae ambae nae ni mkubwa tena kamtambulisha kabisa yani 'hes your step dady' kwa hiyo leo nayo sijafanikiwa kupiga mshipa dah,,,,Wakuu mpaka nacheka yani,nilipata ka mchepuko siku sio nyingi sasa katika harakati za kunipa tunda tukakubaliana leo
Sasa bwana tukaenda zetu lodge maajabu mashine imegoma kabisa kusimama [emoji3][emoji3] daah hata sielewi mpaka najicheka yani najiuliza naumwa au maombi ya wife maana wife anasali sana afu namkubali sana
Wakuu sielewi yani
Yote kwa yote sitorudia tena Kuchepuka ee Mungu nisaidie [emoji120]
Wengine hata Kama inatema damu mradi kaja gheto bila kusema yuko kwa siku zake bado ngoma inasimama ileile na inataka izame hivyohivyo,sema Mtu unajizuwia Kiume tu!!Amakweli mwenye bahati habahatiki, sie wengine hua hatukutani na bahati Kama hizi..[emoji19]
Dah mkuu me nahi kama kuna kitu unakuwa umeepushwa bila wewe kujuaIshanitokea kwa demu mmoja mara mbili mashine imegoma kusimama, mpaka demu anashangaa, na leo tena kaja gheto nilimpania ila kaja na mwanae ambae nae ni mkubwa tena kamtambulisha kabisa yani 'hes your step dady' kwa hiyo leo nayo sijafanikiwa kupiga mshipa dah,,,,
Sasa huo mchepuko utakuonajeNasemajee sitorudia tena!
Vyovyote tu, ukute ningempa mimba nikazaa nje bure au angenipa magonjwa au lingetokea loloteSasa huo mchepuko utakuonaje
Hiyo imeokoa maisha yako.Mshukuru Mungu mkuuWakuu mpaka nacheka yani,nilipata ka mchepuko siku sio nyingi sasa katika harakati za kunipa tunda tukakubaliana leo
Sasa bwana tukaenda zetu lodge maajabu mashine imegoma kabisa kusimama [emoji3][emoji3] daah hata sielewi mpaka najicheka yani najiuliza naumwa au maombi ya wife maana wife anasali sana afu namkubali sana
Wakuu sielewi yani
Yote kwa yote sitorudia tena Kuchepuka ee Mungu nisaidie [emoji120]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka Kama mwehuInakuwaje mpaka ikasimamie gest!? Mie nikipigiwa simu tu "bby nakuja kesho" nipo njiani, tukutane pale kwa siku zote, tayari boro yeung anagangamala kama jiti.. [emoji23]
Hahahaha!aweke ubuntuPiga window
HahahahaWengine hata Kama inatema damu mradi kaja gheto bila kusema yuko kwa siku zake bado ngoma inasimama ileile na inataka izame hivyohivyo,sema Mtu unajizuwia Kiume tu!!