Joh Makini brother umeshinda wewe, nimenyoosha mikono

Niamini Mimi
 
Huu mwamba wa kaskazini nilikua nauelewa kipindi hicho cha chochote popote ......
 
Hii ngoma ipo kawaida hajaufikia ule wimbo wake wa don bother,lakini bado mapema kuihukumu.
 
Hili funzo kwa marapa, sio kila siku kurap huku umekaza sura inabidi wabadilike, we mtizame Casper nyovest ana nyimbo yake verse mbili zote kaimba kawashirikisha mahotela queen nyimbo inaitwa Malone ni bonge la ngoma. Kubadilika kidogo sio dhambi hata hao akina schoolboy q (studio), j Cole (apparently) wameimba. Joh yupo vizuri sana.
 
Mi naona ni mzuri sana mashairi lakini beat yake ndio kidogo sijaielewa. Kweli amejaribu kuiweka kiafrika, lakini there is a lot going on on the beat, kiasi inakua kama kelele.pia video haipo poa saaana
 
Ugumu umemmaliza 20 %, Fid Q nae amepotea, limebaki jina!
 
...yani umemuona Joh kwa SIKU 2 umehitimisha lifestyle yake SIFURI!
..kazi unayo hater!
 
Unataka awe akina nanii daily kwy media?? Huyu hustler wa ukweli wa kimya kimya hana mambo ya kijinga!masidis in the house.
 

huyu chidinma mzuri ningekua joh ningesema kuwe na more kissing scenes kwenye hii video
 
nilimuona Joh 2007 tanga enzi zile ametoa ngoma ile 'wameinama' amebadilika kimziki kidogo ila bado yupo ok na ana trend kwenye mainsteem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…