Joh Makini brother umeshinda wewe, nimenyoosha mikono

Joh Makini brother umeshinda wewe, nimenyoosha mikono

Kizuri kinajiuza.
Jamaa yupo juu na hana skendo za kijinga kama kina.....
 
Kizuri kinajiuza.
Jamaa yupo juu na hana skendo za kijinga kama kina.....
 
....hahaha...Joh amebarikiwa sana kuwa emcee toka Arusha sounds better!

Nah man. Arusha imekuwa ikisifika, ila inatoa emcees wengi uchwara. Kina JCB, Chindo, Lord Eyes, na wengine kibao ni wa kawaida sana kama sio ovyo kiasi.

Currently, Joh ndiye only "word 4 word" conscious emcee we have. Nikki na Stopper wanajaribu pia.
 
Nah man. Arusha imekuwa ikisifika, ila inatoa emcees wengi uchwara. Kina JCB, Chindo, Lord Eyes, na wengine kibao ni wa kawaida sana kama sio ovyo kiasi.

Currently, Joh ndiye only "word 4 word" conscious emcee we have. Nikki na Stopper wanajaribu pia.
..probably(kwenye hiyo hoja ya emceez 'uchwara)
..ila point yangu Arusha(watu na mazingira) ndio imemkuza Joh kuwa Joh 'Makini!'
..kwangu,Arusha ALWAYS comes first!
 
hivi joh anaimba hip hop?
Inaitwa hip hop mtelezo!Game inabadilika,hip hop ngumu kama ya akina Fid Q hutoboi,utawapata masela wachache!Msikilize hata Bill Nas,naye anarap kama anaimba!
 
me cjaona uzuri wa wimbo toka majuzi nimejaribu kuusikiliza mara kwa mara ila sijaupenda labda yule chindimna angerap km anavyofanyaga may be ingeleta ladha
Chidnma huwa anaimba,sio rapa!Angalia ngoma aliyoshirikishwa na Mr flavour na nyingine kibao!
 
..probably(kwenye hiyo hoja ya emceez 'uchwara)
..ila point yangu Arusha(watu na mazingira) ndio imemkuza Joh kuwa Joh 'Makini!'
..kwangu,Arusha ALWAYS comes first!

Arusha, pia ye mwenyewe. Ndio maana nimekutajia rappers/emcees wengine waliokuzwa Arusha, ila bado hawana "umakini" katika tungo zao. Watu wengi wanamchukulia Joh poa poa tu, ila yule jamaa ni mtu mwingine kabisa juu ya track.
 
Arusha, pia ye mwenyewe. Ndio maana nimekutajia rappers/emcees wengine waliokuzwa Arusha, ila bado hawana "umakini" katika tungo zao. Watu wengi wanamchukulia Joh poa poa tu, ila yule jamaa ni mtu mwingine kabisa juu ya track.
...hiyo PIA uliyotumia imewasilisha vyema point yangu:Arusha comes first!
...hoja ya hao emceez wengine ni mada inayojitegemea,nadhani!
 
Chidnma huwa anaimba,sio rapa!Angalia ngoma aliyoshirikishwa na Mr flavour na nyingine kibao!
ndo wimbo pekee wa unaojua wa Chidinma alianza mziki toka 2008 ok ngoja nikuongezee wimbo mwingine kausikilize wimbo wke unaitwa emi ni baller ndipo utajua ana rap pia ukimaliza huo rudi nikuongezee nyimbo zingne alizo rap km jankoliko
 
ndo wimbo pekee wa unaojua wa Chidinma alianza mziki toka 2008 ok ngoja nikuongezee wimbo mwingine kausikilize wimbo wke unaitwa emi ni baller ndipo utajua ana rap pia ukimaliza huo rudi nikuongezee nyimbo zingne alizo rap km jankoliko
Unajua Diamond alikuwa Rapa?Nyimbo zilizomtambulisha diamond mpaka Leo unamjua sio hip hop!Chidinma ametambulika kwa kuimba na sio kurap!Angalia coke studio Africa pia,nyimbo zote Joh Makin na Chidinma wamefanya vizuri,Makini akirap huku Chidinma akiimba!
 
Unajua Diamond alikuwa Rapa?Nyimbo zilizomtambulisha diamond mpaka Leo unamjua sio hip hop!Chidinma ametambulika kwa kuimba na sio kurap!Angalia coke studio Africa pia,nyimbo zote Joh Makin na Chidinma wamefanya vizuri,Makini akirap huku Chidinma akiimba!
tofauti yetu n hapo ww umemjulia kwny coke studio me nimemfahamu way back n sio ameacha kurap km huo wimbo emi n beller n wa 2014 n alitoa baada n kuhit n ngoma km oh baby ambao hata tz ulikuwa km wimbo wa taifa na ndo maana kuhusu huu wimbo wa joh nikasema ningependa km chindinma ange rap kitu ambacho ww ukuwa una jua km ana rap
 
tofauti yetu n hapo ww umemjulia kwny coke studio me nimemfahamu way back n sio ameacha kurap km huo wimbo emi n beller n wa 2014 n alitoa baada n kuhit n ngoma km oh baby ambao hata tz ulikuwa km wimbo wa taifa na ndo maana kuhusu huu wimbo wa joh nikasema ningependa km chindinma ange rap kitu ambacho ww ukuwa una jua km ana rap
Duuuh hata kama nikimsikia anarap sitajua kama ni yeye!Nina fahamu nyimbo zake kama 7 hivi ambazo ameimba ila za kurap sijui hata moja!
 
Joh ana improve kila mwaka, tangu track yake ya kwanza kuisikia miaka 10 iliyopita mpaka leo namuona anaendelea kupanda. Keep it up Joh
 
Back
Top Bottom