Joh Makini, The Tanzania hip hop giant anayepita njia inayomfanya aonekane wa kawaida sana

ushauri wa maana sema mwamba analegeza sanaa saiv sio kama kipindi bum kubah
 
Joh Makini alibadilika baada ya kutoa lile jisongi la HAO ile ilikua HiP Hop mpaka Rose Mhando alirudisha Tuzo ya Kilimanjaro, baadae kuanzia hio 2008 akaanza kuiga iga miziki ya kiulaya ulaya kuiga flow za Jay Z, ila katika ushauri mzuri ulioutoa ni ule wa kutoa ngoma kwa mashabiki wote wa Hip Hop na hawa wa kisasa ila mkuu umeua sana ulivyosema akimdate Vanessa Mdee hahaha hapo mkuu umetisha ila ni kweli watapendeza sana demu mfupi na jamaa mrefu inakuaga collabo nzuri sana...
 
Ume exaggerate uwezo wa huyu jamaaa.

Kuhusu Gnako umesem kweli, jamaa katik kolabo mtamu sana.

Sijawahi muelewaga Nikki wa pili. Anajikuta anajua sana bt actually kawaida kinoma, jina kubwa kuliko uwezo
 
Hana mke
Hana mtoto
Rapa inatakiwa ujishughulishe uache alama kama sio muziki basi familia..

John ni msanii mzuri sana alipotezwa kwenye game baada ya skendo ya ushoga
Hana mtoto una uhakika???? Wabongo bhana yaan wanataka uishi watakavyo
 
Hana mke
Hana mtoto
Rapa inatakiwa ujishughulishe uache alama kama sio muziki basi familia..

John ni msanii mzuri sana alipotezwa kwenye game baada ya skendo ya ushoga
Anae mtoto, ila hamweki katika media...
Fatilia vizuri mkuu, refer hata interview moja alifanya na Salama akajibu hilo swali
 
nina miaka sasa mitatu. sina nyimbo mpya hizi za joh makini. sizielewi kabisa.

nyimbo yake ya mwisho ninayo ikubali ni "najiona mimi"
 
Tatizo hip hop haiuzi

Wanaotamba saiz wabana pua na waimba singeli (dabliyusibi)
 
Siku zinavyozidi kwenda, naona Kama anazidi kupotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…