warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Bosslady wa kampuni ya RJ na muigizaji kutoka Bongo movie, Blandina Chagula amefunguka kuhusu mahusiano yake na partner wake wa long time , Ray Kigosi na kusema yupo na RJ company na sio Ray. Katika kuonyesha wapo kikazi zaidi , ivi karibun ame post picha inayohamasisha watu kumpigia kura partner wake huyo ili anyakue tunzo ya director bora wa mwaka.
Wawili hao ambao waliwahi kuwa wapenzi apo awali na kutengana ivi karibuni , haijafanya wachukiane na kutofanya kazi pamoja.
Wawili hao ambao waliwahi kuwa wapenzi apo awali na kutengana ivi karibuni , haijafanya wachukiane na kutofanya kazi pamoja.