Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Nyie si wakristo jamani?hamuutaki uzima wa milele?
tunautaka sana, tena tunaishi ndani ya uzima wa Yesu Kristo kwa (wale waamini) lakini nifah wangu kila kitu na mahala pake, hii haina tofauti na kupiga wimbo wa rose muhando bills, kwenye hili jukwaa ni umbea mwanzo mwisho ni full kuchambuana tuu humu.
Sasa hataki wachangiaji wengii,sie tunapitaga kusoma,ebu nielekeze mie nikasome komment nicheke mpaka nichanganyikiweee
hahahahaa ila umbea mgumu nyie, unajua me leo nimeshacheka sana, kila anaeomba msaada wa kuingia kwa sintah anaelezea jinsi amefurukuta kuingia akashindwa, mmoja basi wa kutupa msaada wote manake inaonekana wengi tuna kiu.
Huna email ya sinta tumchambeee
hahahahaa ila umbea mgumu nyie, unajua me leo nimeshacheka sana, kila anaeomba msaada wa kuingia kwa sintah anaelezea jinsi amefurukuta kuingia akashindwa, mmoja basi wa kutupa msaada wote manake inaonekana wengi tuna kiu.
Sasa hataki wachangiaji wengii,sie tunapitaga kusoma,ebu nielekeze mie nikasome komment nicheke mpaka nichanganyikiweee
Mimi tokea jana nilikua nawaambia mkaniona chizi...jamani atakayeweza atufahamishe na sie vilaza wengine....
Ahahaaa, kantangazeeee mie, huyo sintah tutamfungia safar tumchambe, oooh
Nitumien na mm email yake nimpe vichambo, japokuwa sijui kutumia email ntajua hvyo hvyo
Jaman uyo access ndo nan binamu nikusaidie kumchamba mie??
Hahahaaaa sipati picha ulivyo na kiu ya umbea wa kwa sintah...yaani mimi ndio sijiwezi hapa kabisaaaa
Kweliii???