Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Nyie si wakristo jamani?hamuutaki uzima wa milele?
tunautaka sana, tena tunaishi ndani ya uzima wa Yesu Kristo kwa (wale waamini) lakini nifah wangu kila kitu na mahala pake, hii haina tofauti na kupiga wimbo wa rose muhando bills, kwenye hili jukwaa ni umbea mwanzo mwisho ni full kuchambuana tuu humu.