John Bocco anaweza cheza mechi ya Simba na Yanga tarehe 30/09/18 TFF wakitaka.

John Bocco anaweza cheza mechi ya Simba na Yanga tarehe 30/09/18 TFF wakitaka.

Ok,wajinga kama wewe huwa ninawapa elimu kuondoa ujinga wao kichwani...kwanza kabisa siku nyingine usikurupuke kuchangia kitu ambacho hujui kimetokea wapi yaani from no where unacomment maada ambayo hujui hata inazungumzia nini...jamaa aliuliza uwezo wa john bocco nikawa namwelewesha john bocco ni nani...nimemuongelea john bocco kama top scores wa mda wote ligi kuu Tanzania bara...tunachozungumzia hapa ni uwezo wa binafsi wa mchezaji...but huyo mchezaji kwa sasa ni mali ya simba na ndo mchezaji bora ligi kuu msimu uliopita akiwa simba or nikuulize wewe kuna nzi wa kijani ndo mchezaji bora msimu wa ligi uliopita???kwa maelezo haya kama ujinga haujatoka bado kichwa niambie niendelee kutoa dozi
Huna uwezo wa kunielimisha wewe.
 
Kumbe huenda naongea na mtu asiyejua soka...John Raphael Bocco ndo top score wa mda wote ligi kuu tanzania bara tangu ianzishwe..alikuwa na magoli 98 juzi katupia mawili kafikisha jumla 100.Hakuna panya yoyote wa kijani wa kumlinganisha na bocco
Kacheza ligi kwa muda gani? sio unaongea tu mtu kutwa ypo hmuhmu wenzie at least wanaenda nje wanazingua zingua wanarudi yy ypo tu hmu unategemea asifunge magoli mengi? Hajawahi jpo hata kwenda Kenya hpo ni ujinga kumfananisha na watu waliocheza ligi kwa msimu mmoja ama miwili!
 
Kumbe huenda naongea na mtu asiyejua soka...John Raphael Bocco ndo top score wa mda wote ligi kuu tanzania bara tangu ianzishwe..alikuwa na magoli 98 juzi katupia mawili kafikisha jumla 100.Hakuna panya yoyote wa kijani wa kumlinganisha na bocco
Ss jitu limecheza misimu 11 magoli 100 tu unakuja kuropoka ropoka hp tambwe msimu mmoja magoli 19 nae angepiga misimu 11 angekuwa wp? Acheni shobo zenu nyie mikia magoli kafunga ypo Azam hpo Simba kafunga goli ngp!
 
Ok,wajinga kama wewe huwa ninawapa elimu kuondoa ujinga wao kichwani...kwanza kabisa siku nyingine usikurupuke kuchangia kitu ambacho hujui kimetokea wapi yaani from no where unacomment maada ambayo hujui hata inazungumzia nini...jamaa aliuliza uwezo wa john bocco nikawa namwelewesha john bocco ni nani...nimemuongelea john bocco kama top scores wa mda wote ligi kuu Tanzania bara...tunachozungumzia hapa ni uwezo wa binafsi wa mchezaji...but huyo mchezaji kwa sasa ni mali ya simba na ndo mchezaji bora ligi kuu msimu uliopita akiwa simba or nikuulize wewe kuna nzi wa kijani ndo mchezaji bora msimu wa ligi uliopita???kwa maelezo haya kama ujinga haujatoka bado kichwa niambie niendelee kutoa dozi
Mr Zero wewe
 
Kama FAT/TFF wangekua wanaweka rekodi nakuhakikishia John Bokoa asingekuwepo ata katika wachezaji 50waliowahi kufunga magolimengi katika ligigi kuu. Wakina kibaden, Omar Husen,katika Juma Mgunda, Jimmy Mored , Mohamed Hussen n.k ao jamaa katika msimu walikua Hazipungui goli kumi mguuni.ba walicheza kwa muda mrefu katika ligi. Nakumbuka kuna mechi ya Yanga na RTC Kagera pale Taifa Lunyamila alifunga goli 6 katika mechi moja.
Tunaongea kwa kutumia data...hao unaowasema wewe walifunga magoli mangapi kwenye ligi kwa mda wote...kama hujui usituletee story za kwenye vijiwe vya kahawa.....kutokana na record zilizopo John Bocco ndo mchezaji anayeongoza kwa kutupia nyingi tangu ligi ianze
 
Ss jitu limecheza misimu 11 magoli 100 tu unakuja kuropoka ropoka hp tambwe msimu mmoja magoli 19 nae angepiga misimu 11 angekuwa wp? Acheni shobo zenu nyie mikia magoli kafunga ypo Azam hpo Simba kafunga goli ngp!
Hapa simba hajafunga mengi but msimu uliopita ndo best player wa vpl...alafu huu Uzi ni wa John Raphael bocco sio wa tambwe so kama kuna vitu unataka kumsifia anzisha thread ya kumsifia hukatazwi....
 
Kumbe huenda naongea na mtu asiyejua soka...John Raphael Bocco ndo top score wa mda wote ligi kuu tanzania bara tangu ianzishwe..alikuwa na magoli 98 juzi katupia mawili kafikisha jumla 100.Hakuna panya yoyote wa kijani wa kumlinganisha na bocco

Cha kushangaza amepitwa kwa idadi ya mataji ya vpl na JUMA MAKAPU....

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cha kushangaza amepitwa kwa idadi ya mataji ya vpl na JUMA MAKAPU....

[emoji23][emoji23][emoji23]
Anzisha thread ya mchezaji mwenye mataji mengi...hi ni thread ya mchezaji mwenye magoli mengi tangu ligi kuu ya Tanzania bara ianzishwe
 
MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI.

JOHN BOCCO KAWEKA RECORD YA KUFIKISHA MAGOLI 100 KTK TPL KWA KUITUMIKIA MISIMU 11 MPK SASA!

KI MATHS HII INAMAANISHA BOCCO ANA WASTANI WA MAGOLI 9 TU KWA MSIMU!

NAKUKUMBUSHA TU, RECORD YA MAGOLI MENGI KWA MSIMU ANAISHIKILIA MOHAMMED HUSSEIN "MMACHINGA" KWA GOLI 26 KWA MSIMU!

ABDALLAH JUMA WA MTIBWA ALIWAHI KUFUNGA MAGOLI 24 KTK MSIMU MMOJA!

HONGERA BOCCO!


Magoli 9 kwa kila Msimu....[emoji23][emoji23]
 
Acheni shobo zenu nyie mikia magoli kafunga ypo Azam hpo Simba kafunga goli ngp!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

sidhan kama watakupa jibu la swali lako kihusi magoli yake akiwa simba...

Hayazidi hata 12..
 
Ss jitu limecheza misimu 11 magoli 100 tu unakuja kuropoka ropoka hp tambwe msimu mmoja magoli 19 nae angepiga misimu 11 angekuwa wp?



19 X 11 = 209....

Bila shaka angekuwa na mabao mara mbili ziadi ya huyu mzee!

[emoji23][emoji23]
 
Kacheza ligi kwa muda gani? sio unaongea tu mtu kutwa ypo hmuhmu wenzie at least wanaenda nje wanazingua zingua wanarudi yy ypo tu hmu unategemea asifunge magoli mengi? Hajawahi jpo hata kwenda Kenya hpo ni ujinga kumfananisha na watu waliocheza ligi kwa msimu mmoja ama miwili!
Kwa kuwa Bocco ana magoli 100.

Basi hivi leo yeye ana thamani zaidi ya Msuva kwenye soko....[emoji23]
 
Kama FAT/TFF wangekua wanaweka rekodi nakuhakikishia John Bokoa asingekuwepo ata katika wachezaji 50waliowahi kufunga magolimengi katika ligigi kuu. Wakina kibaden, Omar Husen,katika Juma Mgunda, Jimmy Mored , Mohamed Hussen n.k ao jamaa katika msimu walikua Hazipungui goli kumi mguuni.ba walicheza kwa muda mrefu katika ligi. Nakumbuka kuna mechi ya Yanga na RTC Kagera pale Taifa Lunyamila alifunga goli 6 katika mechi moja.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Hili nalo ni neno aisee!
 
Back
Top Bottom