Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Kwahyo na juzi walikosea kutomuanzisha huyo Papa wa Gigy Money?Mchezaji mwenye magoli mengi tangu kuanza kwa ligi kuu tanzania , mchezaji mwenye hamasa na utulivu, mchezaji mwenye kipaji Cha uongozi Papa's John Bocco ndiye anayeweza kuwatoa Simba kwa wakati huu Mgumu wanaopitia wamuamini kila mchezo mpaka hapo Mambo yatakapokaa sawa.
Nikweli mkuu capten Bocco hawezi ruhusu huo ujinga😅Kwahyo na juzi walikosea kutomuanzisha huyo Papa wa Gigy Money?
Unajipigia chapuo et
Mchezaji mwenye magoli mengi tangu kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania, mchezaji mwenye hamasa na utulivu, mchezaji mwenye kipaji cha uongozi Papa's John Bocco ndiye anayeweza kuwatoa Simba kwa wakati huu Mgumu wanaopitia wamuamini kila mchezo mpaka hapo Mambo yatakapokaa sawa.
Chapuo gan?Unajipigia chapuo et
Acha mdomoWewe utopolo hujui kitu
awabebe simba?
Mchezaji mwenye magoli mengi tangu kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania, mchezaji mwenye hamasa na utulivu, mchezaji mwenye kipaji cha uongozi Papa's John Bocco ndiye anayeweza kuwatoa Simba kwa wakati huu Mgumu wanaopitia wamuamini kila mchezo mpaka hapo Mambo yatakapokaa sawa.