Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Habari wanajukwaa
Katika Hali ya kushangaza mchezaji mahiri wa Simba na timu yako Taifa Tanzania John Boko amesaini timu mbili tofauti , Polokwane FC ya Afrika Kusini na timu ya Simba ya Tanzania
Ikumbukwe mkataba wa Simba umeisha mwaka huu baada ya msimu wa ligi kuisha. Kwa mujibu wa msemaji wa Polokwane amesema mkataba wa Boko umeshapelekwa kwa mamlaka za soka Afrika Kusini PSL kuthibitisha kama mchezaji wao
Akiongea na msemaji huo wa Polokwane, mtangazaji wa E FM Sound Mkumba amethibitisha kuwa Boko ni mchezaji wa Polokwane kwa mkataba wa miaka 2
Hata hivyo pia kituo hicho kilimtafuta mwenyekiti wa Simba, Suedi Mkwabi kutoa mkanganyiko huo naye alisema anachojua Boko ni mchezaji wao halali.
Katika Hali ya kushangaza mchezaji mahiri wa Simba na timu yako Taifa Tanzania John Boko amesaini timu mbili tofauti , Polokwane FC ya Afrika Kusini na timu ya Simba ya Tanzania
Ikumbukwe mkataba wa Simba umeisha mwaka huu baada ya msimu wa ligi kuisha. Kwa mujibu wa msemaji wa Polokwane amesema mkataba wa Boko umeshapelekwa kwa mamlaka za soka Afrika Kusini PSL kuthibitisha kama mchezaji wao
Akiongea na msemaji huo wa Polokwane, mtangazaji wa E FM Sound Mkumba amethibitisha kuwa Boko ni mchezaji wa Polokwane kwa mkataba wa miaka 2
Hata hivyo pia kituo hicho kilimtafuta mwenyekiti wa Simba, Suedi Mkwabi kutoa mkanganyiko huo naye alisema anachojua Boko ni mchezaji wao halali.