John Bolton: Trump kaisalimisha Ukraine kwa Russia kikamilifu, Kremlin wanashangilia wakinywa vodka bila glass.

John Bolton: Trump kaisalimisha Ukraine kwa Russia kikamilifu, Kremlin wanashangilia wakinywa vodka bila glass.

Bolton ana misimamo ya ovyo sana. Muda wote yupo tayari kupigana na taifa lolote adui fizikali bila kujali hasara ya jambo Hilo Kwa Marekani. Bolton ni aina ya watu wazalendo kwelikweli. Hapendi kuona Marekani ikiyumbishwa na Russia ama Iran! Kwa misimamo yake alikuwa tayari kuhakisha uvamizi dhidi ya Iran mwaka 2019. Alitolewa ikulu Kwa sababu ya misimamo hii. Kule kwao watu aina ya Bolton ndio wale huitwa War hawks. Alikuwa na rafikiye hayati John Maccain
Ni kwa sababu haendi yeye kupigana.

Anasema hayo anayoyasema akiwa nyumbani kwake kwenye kochi.

Huko vitani wataouliwa au kupata vilema vya maisha ni wengine.

Jamaa anapenda sana vita, zile tu ambazo wengine wanaenda kupigana.
 
Ni kwa sababu haendi yeye kupigana.

Anasema hayo anayoyasema akiwa nyumbani kwake kwenye kochi.

Huko vitani wataouliwa au kupata vilema vya maisha ni wengine.

Jamaa anapenda sana vita, zile tu ambazo wengine wanaenda kupigana.
Trump ndiye Rais aliyewauzia Saudi Arabia silaha nyingi zaidi katika historia, sehemu kubwa ya hizo silaha ilikuwa za kuwaua Houthi na raia wengine wa kawaida wa Yemen.
 
Apewe bunduki aingie front kwnda kupigana...sometimes matatizo mengi duniani yanayosababishwa na wanasiasa ilitakiwa wapewe silaha wao wenyewe watafutane sio kuchochea migogoro halafu wao wanakuwa ofisini wanacheki kwa mbali mtanange
Trump ataacha kuiuzia silaha Saudi Arabia?
 
Angeanza Putin kushika bunduki kuingia front badala ya kwenda kukodi Wakorea Kaskazini hapo pointi yako ingekiwa na maana. Yaani Russsia awapore Ukraine ardhi yao halafu iwe poa tu, ndivyo mlivyofundishwa hivyo au sio!? Nini maana ya mipaka sasa!? Au ndio nyie mnaoona sawa Rwanda amege eneo la Congo!? Na baada ya hapo itakuwaje!? Kila nchi yenye ubavu wa kupora eneo la mwingine ifanye hivyo!? Na majeshi ya ulinzi kazi yake itakuwa nini!? Au bajeti za ulinzi mnaona zinawekwa tu bila akili!?

Ngoja kesho China aingie hapo Taiwani, tuone huyo bwana Trump kama atakaa kimya, kama mnavyomuona ana akili sana!
Katika vita rahisi kwa China ni kuiteka taiwan kwa sababu ni kisiwa hivyo sio rahisi kwa Marekani kupeleka siraha kama Ukraine, njia rahisi ya Marekani kuitetea Taiwan ni kuingia vitani moja kwa moja na sidhani kama eti Marekani itaruhusu miji yake iharibiwe na mamilion ya raia wake wauawe na makombora eti kwaajili ya Taiwan.
 
Haaa mpaka wakawa wanasema eti Urusi ni super power uchwara ana tolewa jasho na Ukraine sasa sijui wanababaika nini?
Huyo superpower uchwara kashindwa kuvimaliza vita vya Ukraine achilia mbali kuikomboa Kursk licha ya kusaidiwa na Korea Kaskazini
 
Hakuna wanajeshi Marekani wanaopigana Ukraine, raia wa Ukraine wako tayari wenyewe kupigana frontline kulinda mipaka ya nchi yao, hawajalazimishwa na Marekani.
Sasa si waendelee kupambana Trump wamlilia ili iweje?
 
Kwa hiyo unakiri kwamba Marekani imefanikiwa kuzuia lengo la Urusi siku zote hizo?
Hajazuia bali amechelewesha tu maana mpaka sasa Urusi ina dhibiti asilimia 80 ya Dombas eneo ambalo ndo lengo kuu ,na Marekani imesha jua kuwa suala la kuzua malengo ya Urusi haliwezekaniki ndo maana wanajitoa kiakili kupitia Trump.
 
Huyo superpower uchwara kashindwa kuvimaliza vita vya Ukraine achilia mbali kuikomboa Kursk licha ya kusaidiwa na Korea Kaskazini
Sasa kama ameshindwa kumaliza vita hizo bwabwaja dhidi ya Trump ni za nini si wapambane kumfurusha huyo super power uchwara?
Super power uchwara lakini munaenda kumaliza vita kwa masharti anayo taka yeye.
 
Even if the US showered Kiev with torrents of money and armaments, nothing will change the tide of this war. It's not until NATO chooses to send boots on the ground, a deadly scenario likely to turn into a fully blown nuclear war.

The Ukraine Project was a bad investment for NATO and the UE. Million innocent children dead, thousands displaced, huge chunk of territory lost and Ukraine has been turned into a dysfunctional lump state.

Anyone who takes Bolton serious must surely be out of his meds.​
 
Donald Trump ni mtu wa amani,ameleta amani duniani.
Siyo kama akina Biden na Bilgate waliokuwa wanachochea vita.
 
Sasa kama ameshindwa kumaliza vita hizo bwabwaja dhidi ya Trump ni za nini si wapambane kumfurusha huyo super power uchwara?
Super power uchwara lakini munaenda kumaliza vita kwa masharti anayo taka yeye.
Masharti yapi hayo?
 
Back
Top Bottom