Louis II
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 3,030
- 4,647
Vipi hakuwa na kademu tufanye mpango wa kukatafuta?😂Familia yake ipo lwambi mbeya.Tumecheza sana miaka ya 97 tukitoka shule kulikuwa na garden nzuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi hakuwa na kademu tufanye mpango wa kukatafuta?😂Familia yake ipo lwambi mbeya.Tumecheza sana miaka ya 97 tukitoka shule kulikuwa na garden nzuri sana
Nimetumia zaidi ya dakika 10 kuisoma hii history murua. Umetisha mkuu!!
Tuko pamoja kiongozi. Bless up!!Shukrani sana.
Mitaala ya kijinga sana, yaani mtu kama Walden inabidi umfahamu kwa jitihada zako. Ila siku zote tunasomeshwa wajinga wajinga wa ng'ambo ambao hawana maana kwetu.
Uzalendo ni somo kubwa ambalo ukilikosea utotoni huwezi kulifundisha ukubwani.
Yeah TPDF imekua na machotara wengi .....wengi toka Iringa ..ambako kuna jamiii hiyo pia yumo.
Maj Gen Louis ambaye alifariki akiwa mkuu wa utumishi jeshini ,a very brave commander
Mdogo wake alikuwa fighter jet Pilot
Col(brig gen) aloyce louis
Kuna kitu TPDF wanatakiwa kufanya kwenye usaili ili huhakikishai linaendelea kuvutia minority races kama machotara kujiunga na jeshi...kwa heshima ya utumishi wa mashujaa kama hawa..ni muda mrefu sijaona machotara cadets
Nafahamu nyumbani kwake Iwambi Mbeya.
Mashujaa wetu hawa tuwaenzi kwa nguvu zetu zote.
Angekuwa mtu mweudi kanyimwa hiyo nafasi huko Marekani kisa rangi yake na vigezo vyote anavyo ungesikia Unafiki wetu.Ndio ujue Waafrika tuna ubaguzi flani mbaya sana. Huyu jamaa kazaliwa Tunduru na ashajitoa sana kwa nchi yake. Kulikua na sababu gani kumnyima cheo
Sheikh wangu hili rungu nimelikwepa.Nimekaa naye pale mtaani sasa alikuwa ana majaribu balaa, mzee alikuwa anakushikisha msumari wa nchi sita anakwambia weka kichwani ushikirie halafu anaenda umbali kama mita 15 hivi anachukua bastola yake anafyatua halafu analenga tu msumali utasikia kriiiiiii msumali haupo mkononi!!!!alikuwa na shabaha ajabu!! Basi bwana tulifaidi nyama pori akiendaga kuwinda anarudi na minyama anagawa pale jirani aaaah mungu mlaze mahala anapostahili!!