John Dilinga Matlow, mrithi halali wa Gardner Habash

John Dilinga Matlow, mrithi halali wa Gardner Habash

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Wakati naendelea kufuatilia marudio ya msiba wa Garder, namuona DJ JD akiwa katulia msibani. Mara kwa mara kamera zinamuonyesha akiwa katulia, na miwani yake myeusi juu ya paa la uso.

Ndipo ninapovuta kumbukumbu miaka ya 2005 kama sikosei, akiwa East Africa Radio. Kipindi chake cha usiku kilibamba sana. Kilikuwa na engagement ya kutosha. Alikuwa influential redioni. Kabla ya hapo nadhani alikuwa Radio One. Baada ya hapo sikumbuki sana ila mara nyingi nilimsikia kwenye udj, hasa wa zile nyimbo zetu pendwa za old school. Kitambo nikimsikia Las Vegas Casino ambapo baadae ikaitwa Isumba Lounge.

Kifupi huyu jamaa kwa kumtazama ni mbadala sahihi wa marehemu. Ni mtangazaji mahiri na mtulivu awapo kwenye mic. Ni mkongwe, jamii ya marehemu. Atafaa sana kuliongoza jahazi akisaidiwa na wabakiaji Mussa na George.
 
Wakati naendelea kufuatilia marudio ya msiba wa Garder, namuona DJ JD akiwa katulia msibani. Mara kwa mara kamera zinamuonyesha akiwa katulia, na miwani yake myeusi juu ya paa la uso.

Ndipo ninapovuta kumbukumbu miaka ya 2005 kama sikosei, akiwa East Africa Radio. Kipindi chake cha usiku kilibamba sana. Kilikuwa na engagement ya kutosha. Alikuwa influential redioni. Kabla ya hapo nadhani alikuwa Radio One. Baada ya hapo sikumbuki sana ila mara nyingi nilimsikia kwenye udj, hasa wa zile nyimbo zetu pendwa za old school. Kitambo nikimsikia Las Vegas Casino ambapo baadae ikaitwa Isumba Lounge.

Kifupi huyu jamaa kwa kumtazama ni mbadala sahihi wa marehemu. Ni mtangazaji mahiri na mtulivu awapo kwenye mic. Ni mkongwe, jamii ya marehemu. Atafaa sana kuliongoza jahazi akisaidiwa na wabakiaji Mussa na George.
Aaiseeee hataaa ajazikwaaa mshafanyaa uteuziii khaaa
 
Siku hizi Ukisikiliza wanaojiita wandisha wa habari wanauliza Swali unatamani ujifukie...Hivi jameni ni nn kimetokea kwenye hii tasnia ya habari??
 
Wakati naendelea kufuatilia marudio ya msiba wa Garder, namuona DJ JD akiwa katulia msibani. Mara kwa mara kamera zinamuonyesha akiwa katulia, na miwani yake myeusi juu ya paa la uso.

Ndipo ninapovuta kumbukumbu miaka ya 2005 kama sikosei, akiwa East Africa Radio. Kipindi chake cha usiku kilibamba sana. Kilikuwa na engagement ya kutosha. Alikuwa influential redioni. Kabla ya hapo nadhani alikuwa Radio One. Baada ya hapo sikumbuki sana ila mara nyingi nilimsikia kwenye udj, hasa wa zile nyimbo zetu pendwa za old school. Kitambo nikimsikia Las Vegas Casino ambapo baadae ikaitwa Isumba Lounge.

Kifupi huyu jamaa kwa kumtazama ni mbadala sahihi wa marehemu. Ni mtangazaji mahiri na mtulivu awapo kwenye mic. Ni mkongwe, jamii ya marehemu. Atafaa sana kuliongoza jahazi akisaidiwa na wabakiaji Mussa na George.
Hivi,kiumri wanaachana miaka mingapi na marehemu Gadner?
 
Siku hizi Ukisikiliza wanaojiita wandisha wa habari wanauliza Swali unatamani ujifukie...Hivi jameni ni nn kimetokea kwenye hii tasnia ya habari??
Zamani ili uwe mwandishi wa habari na mtangazaji, lazima usomee, uwe na kipaji na uwe na chombo cha kufanyia kazi, yaani media kama Redio, TV, gazeti. Ujio wa social media ume liberalize tasnia ya habari, kila simu janja ni media, kila mtu sasa ni mwandishi wa habari, ni reporters, ni mtangazaji, sio lazima kwenda shule wala kujua kusoma na kuandika!, unachohitaji ni simu janja na bando tuu!.
Kiukweli kabisa fani imevamiwa!.
P
 
Kibonde na Captain ndio walioibeba jahazi

Mpaka leo mrithi wa Kibonde hajapatikana na bado wa Gardner

Hili ni pigo kwa CMG

Jahazi ni aina ya kipindi kinahitaji presenters watu wazima kiaina lakini wajanja, wenye ushawishi na wenye mastori ya town yanayowagusa watu wa rika zote
 
Asante mkongwe kwa taarifa yako, na mabandiko yako. Kwako sina la kupinga sana. Kwa JD pia licha ya udj, amekuwa mtangazaji. Siamini kama atashindwa kazi hiyo hasa ukizingatia sio taarifa ya habari ile bali ni maongezi fani hivi changamfu yakisindikizwa na muziki. Anaweza kuweza
 
Zamani ili uwe mwandishi wa habari na mtangazaji, lazima usomee, uwe na kipaji na uwe na chombo cha kufanyia kazi, yaani media kama Redio, TV, gazeti. Ujio wa social media ume liberalize tasnia ya habari, kila simu janja ni media, kila mtu sasa ni mwandishi wa habari, ni reporters, ni mtangazaji, sio lazima kwenda shule wala kujua kusoma na kuandika!, unachohitaji ni simu janja na bando tuu!.
Kiukweli kabisa fani imevamiwa!.
P
Duniani Kuna taaluma tatu tu.
Sheria, Udaktari na Ualimu.
Hizo zingine siyo taaluma kwahiyo msilalamike kaka mkubwa
 
Wakati naendelea kufuatilia marudio ya msiba wa Garder, namuona DJ JD akiwa katulia msibani. Mara kwa mara kamera zinamuonyesha akiwa katulia, na miwani yake myeusi juu ya paa la uso.

Ndipo ninapovuta kumbukumbu miaka ya 2005 kama sikosei, akiwa East Africa Radio. Kipindi chake cha usiku kilibamba sana. Kilikuwa na engagement ya kutosha. Alikuwa influential redioni. Kabla ya hapo nadhani alikuwa Radio One. Baada ya hapo sikumbuki sana ila mara nyingi nilimsikia kwenye udj, hasa wa zile nyimbo zetu pendwa za old school. Kitambo nikimsikia Las Vegas Casino ambapo baadae ikaitwa Isumba Lounge.

Kifupi huyu jamaa kwa kumtazama ni mbadala sahihi wa marehemu. Ni mtangazaji mahiri na mtulivu awapo kwenye mic. Ni mkongwe, jamii ya marehemu. Atafaa sana kuliongoza jahazi akisaidiwa na wabakiaji Mussa na George.
Kifo kweli hakina huruma, mtu hata bado hajazikwa tayari amesha patikana wa kuchukua nafasi yake kazini.

Aisee...kama ume ajiriwa ukipata nafasi ya kupiga we piga haswaaaaa.
Hakuna mtu wa kukuonea huruma hii dunia nimeamini.
 
Kifo kweli hakina huruma, mtu hata bado hajazikwa tayari amesha patikana wa kuchukua nafasi yake kazini.

Aisee...kama ume ajiriwa ukipata nafasi ya kupiga we piga haswaaaaa.
Hakuna mtu wa kukuonea huruma hii dunia nimeamini.
Ni kweli mkuu. Tumeona hapo Kenya pia. Mti umeanguka na mti ukapandwa chap. Ndio fomula ya maisha. Hata wife hapo ana mbadala pindi ukitangulia 😅
 

101.4 FM
JD 1416 - Uhuru Fm
The Crewz - 87.8FM
DJ Show - Radio One

Masharp Shooters aka Sauti ya miujiza - Ubandidu

DJ JD ndiyo alikuwa anaipiga sana hiyo track kwenye Radio Show....Jamaa walikuwa wanachana kama LWP.
 
Back
Top Bottom