Tetesi: John Heche adaiwa kukiuka kanuni za uchaguzi CHADEMA, hatarini kuenguliwa

Tetesi: John Heche adaiwa kukiuka kanuni za uchaguzi CHADEMA, hatarini kuenguliwa

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,358
John Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.

Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao. Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.

Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.

Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.

John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
 
John Heche hakuna mahala alipotangaza atafanya kazi na Tundu Lissu tu?. Bali alisema atafanya kazi na yeyote lakini ana uhakika Tundu Lissu atashinda kwahio atafanya nae kazi.

Tena alisema hili la Lissu ni Kimbunga, yaani ni Tsunami haijawahi kutokea.

Nauzuri video ipo akiyasema hayo, kama Kuna mahala alisema atafanya kazi na Lissu tu na si mtu mwingine tunaomba utuwekee video akiyasema hayo.

Sasa Team Sultan mmeona hamna pakuchomokea sasa mnaanza rafu kama za master wenu aliyewaagiza ambae ni CCM.

Mwaka huu lazima chama kije kwa wananchi, nasio kibaki huko makao makuu mnapokalia kutafuna ruzuku tu.
 
John Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.

Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao.Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.

Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.

Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.

John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
Mnatapatapa, jambo la muhimu Mbowe kachokwa na kila mwanachadema mwenye akili isipokuwa wachumia tumbo na machawa kama wewe tu
 
Unajua nyinyi ccm mnatia huruma mpaka basi yaani

Haya maneno uloandika yanasadifu ujinga wenu maccm

Yaani mnakimbelembele utadhani mnaushirika na Chadema yaani

mnaweza kuwa na ushirika na Mbowe ila siyo hao mnaoshinda jf kuwasema sema kwa maneno yenu ya shombo
 
John Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.

Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao.Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.

Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.

Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.

John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
Chadema inakaribia kufa!
 
John Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.

Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao.Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.

Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.

Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.

John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
Sasa kama alisema yeye ni mgombea Mwenza na kama CHADEMA haina ugombea Mwenza, hiyo form ya ugombea wenza aliitoa wapi? Alipewa na nani? Hiyo tetesi ya kuenguliwa imetolewa na ani? Kiazi mmoja wewe.
 
John Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.

Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao.Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.

Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.

Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.

John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
Ana haki yakumuunga mkono mgombea wa nafasi ya uenye kiti,.maana ni nafaso 2 tofauti
 
Chama kinaenda kujifia na sababu ni zilezile zilizoua vyama vingine nazo ni ubinafsi na uroho wa madaraka kwamba kuna kikundi cha watu kinajiona chenyewe tu ndiyo wanachama halisi wenye uchungu na chama hivyo ni wao tu ndiyo wanastahili kukiongoza chama.
 
CHAMA KIMESHAUZWA MUDA SANA LISSU ANAJUSUMBUA KUTAKA UENYEKITI CHAMA SASAHIVI SIYO CHA MBOWE KINA WENYEWE WANA KI CONTROL LISSU ATAFUTE CHAMA KINGINE ANACHELEWA TU CHADEMA HAAPATA UENYEKITI NEBER
 
John Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.

Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao.Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.

Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.

Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.

John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
Umelipwa kiasi gani cha propaganda ewe masikini
 
Back
Top Bottom