Tetesi: John Heche adaiwa kukiuka kanuni za uchaguzi CHADEMA, hatarini kuenguliwa

Tetesi: John Heche adaiwa kukiuka kanuni za uchaguzi CHADEMA, hatarini kuenguliwa

Niliona hilo kosa, lakini naomba asamehewe, Japo kama akishinda yeye na labda akashinda mgombea mwingine na si Lissu anatakiwa kujiuzulu siku hiyo hiyo, maana alishatangaza kutoshirikiana na yeyote mwingine
Nilijua na wewe angalau zimo kidogo kumbe na wewe ndio walewale wakina Yericko na Ntobi.
 
Asamehewe na nani? Kwa kosa gani
Unaifahamu katiba ya Chadema? Hivi vyama siyo vijiwe vinazo taratibu zake, tunataka kila anayetaka agombee, lakini kwa kufuata katiba ya Chama.

Sina ugomvi wowote na Heche, hata yeye anajua lakini hakuna mgombea mwenza kwenye uongozi wa Chadema
 
John Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.

Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao. Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.

Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.

Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.

John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
Naona somo la engua engua mlilofundishwa na sponsor wenu CCM limekolea sasa mnataka kulifanyia kazi kwa vitendo.
 
John Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.

Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao. Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.

Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.

Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.

John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
Unahangaiaka sana ila Lissu atashinda
 
Yeyote anayepambana kupingana na mpango wa Mungu , anayajua madhara yake ? Anajua Mungu anaweza kumfanya nini mtu anayepingana na mpango wa Mungu?
 
John Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.

Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao. Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.

Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.

Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.

John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
Mkifanya hilo kosa la kumkata ndio mtaharibu kila kitu bora muibe kura kuliko kumkata. Tunarudia makosa yale yale ya CCM alafu tukifanyiwa sisi tulalamike
 
Mnatapatapa, jambo la muhimu Mbowe kachokwa na kila mwanachadema mwenye akili isipokuwa wachumia tumbo na machawa kama wewe tu
Naona mmeamua kuja na zile ID zenu zote,

Ama kweli mabavicha safari hii mmnalo.
 
Back
Top Bottom