Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarime,yamewashinda ya mgodi wa Barrick,mnayataka ya chadema😂Msengee ww mkimuengua mskanyage tarime
💐💐💐💐Naona somo la engua engua mlilofundishwa na sponsor wenu CCM limekolea sasa mnataka kulifanyia kazi kwa vitendo.
Limewakaa safari hii.John Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.
Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao. Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.
Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.
Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.
John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
Mtasubiri nyie wapumbavu wa CCM wauaji wakubwaHapo mtasubiri sana
Labda CHADEMA ya nyokoLissu ndiye mwenyekiti wa CHADEMA
Mtasubiri nyie wapumbavu wa CCM wauaji wakubwa
Hawa naona hicho chama kimewashinda sasa dalili la kugawana milunda zinaandaliwa. wajidanganye kumkata HECHE kihuni.John Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.
Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao. Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.
Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.
Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.
John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
Hiyo form ya Ugombea wenza aliyoijaza ameipata wapi?hakuna mgombea mwenza kwenye uongozi wa Chadema
Mnatapatapa, jambo la muhimu Mbowe kachokwa na kila mwanachadema mwenye akili isipokuwa wachumia tumbo na machawa kama wewe tu
Hawa naona hicho chama kimewashinda sasa dalili la kugawana milunda zinaandaliwa. wajidanganye kumkata HECHE kihuni.
Usihitimishe hivyo subiri matokeo ya UchaguziLissu ndiye mwenyekiti wa CHADEMA
Wacha ife tu😎Chadema inakaribia kufa!
John Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.
Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao. Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.
Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.
Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.
John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye