RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Nilijua na wewe angalau zimo kidogo kumbe na wewe ndio walewale wakina Yericko na Ntobi.Niliona hilo kosa, lakini naomba asamehewe, Japo kama akishinda yeye na labda akashinda mgombea mwingine na si Lissu anatakiwa kujiuzulu siku hiyo hiyo, maana alishatangaza kutoshirikiana na yeyote mwingine
Unaifahamu katiba ya Chadema? Hivi vyama siyo vijiwe vinazo taratibu zake, tunataka kila anayetaka agombee, lakini kwa kufuata katiba ya Chama.Asamehewe na nani? Kwa kosa gani
Mkuu hao wote unaowasema wanavunja katiba ya Chadema, ni wapi umeona mimi nimevunja?Nilijua na wewe angalau zimo kidogo kumbe na wewe ndio walewale wakina Yericko na Ntobi.
Naona somo la engua engua mlilofundishwa na sponsor wenu CCM limekolea sasa mnataka kulifanyia kazi kwa vitendo.John Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.
Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao. Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.
Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.
Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.
John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
Utakufa wewe na kuiacha Chadema ikizidi kustawiChadema inakaribia kufa!
Unahangaiaka sana ila Lissu atashindaJohn Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.
Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao. Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.
Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.
Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.
John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
B12 zimeanza kufanya kazi lakini wajue hawawezi kuzuia mafuriko kwa viganja vya mikono.Vijana wa museveni mmeingia kazini
Safari hii wamachame wameyatimbaNdio kusema hatuoni wenje akimuunga mkono sultan, anamtukana lisu, anamdhihaki na anaonesha kabisa upande wake.
Tulieni dawa iingie safari hii mbowe hachomoki
UONGO huu, hakusema hivyo.John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine
Kwa uongozi wa TAL🙃Utakufa wewe na kuiacha Chadema ikizidi kustawi
Tafuteni mabadiliko ya serikali sio chama🤣Tunahitaji Mabadiliko kwa kweli!
Lissu MwenyekitiKwa uongozi wa TAL🙃
Mkifanya hilo kosa la kumkata ndio mtaharibu kila kitu bora muibe kura kuliko kumkata. Tunarudia makosa yale yale ya CCM alafu tukifanyiwa sisi tulalamikeJohn Heche mgombea wa nafasi ya Makamo Mwenyekiti Chadema anadaiwa kuvunja kanuni za uchaguzi ndani ya chama hicho.
Akitangaza kugombea nafasi hiyo tarehe 5/1/25 John Heche akiwa na walioitwa wafuasi wake alijitangaza yeye ni mgombea Mwenza wa Tundu Lissu na kuwataka wanachama wawachague wao. Pia aliandaa mabango kadhaa yaliyokuwa na majina ya Lissu na Heche.
Kwa mujibu wa Katiba na Taratibu za Chadema hakuna mgombea mwenza na kila mgombea anatakiwa agombee nafasi peke yake bila kujitangaza na mgombea mwingine.
Taarifa,za uhakika ni kwamba tayari kuna mashtaka na malalamiko yamewasilishwa kwa Katibu Mkuu na ikithibitika huenda John Heche akaondolewa kwenye kugombea nafasi yake.
John Heche ametangaza wazi atafanya kazi tu na Tundu Lissu na si mtu mwingine kitu ambacho kitaleta shida akichaguliwa Freeman Mbowe na yeye
Ndiyo mafunzo waliyopata toka kwa sponsor wao mkubwa CCM.Mkifanya hilo kosa la kumkata ndio mtaharibu kila kitu bora muibe kura kuliko kumkata. Tunarudia makosa yale yale ya CCM alafu tukifanyiwa sisi tulalamike
Hapo mtasubiri sanaLissu Mwenyekiti
Heche Makamu Mwenyekiti
Lemma Katibu Mkuu
Naona mmeamua kuja na zile ID zenu zote,Mnatapatapa, jambo la muhimu Mbowe kachokwa na kila mwanachadema mwenye akili isipokuwa wachumia tumbo na machawa kama wewe tu