Uchaguzi 2020 John Heche aimalizia CCM kata ya Nyamongo

Heche atafute kibaghalashia aanze biashara ya kuuza alqasus,kwenye ubunge awezi rudi tena.
 
Huu utakuwa ni uchaguzi wa kihistoria kwa Tanzania,mpinzani aliyepigwa risasi na Magoo-fool anaenda kushinda uchaguzi kwa haki!
Hicho ndio kinawaumiza mno , natabiri Ndugai na Magufuli kukimbia nchi baada ya october 28
 
Wewe Nyamongo haijawahi kuwa na urafiki na ccm toka madini yao yalivyogawiwa kwa mabeberu na Ccm na kisha wakazi wa pale wakaanza kufukuzwa kwa kupigwa risasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…