Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mkurya anajielewa sana, na ana msimamo thabiti kabisa
Msikilize
Tena hata sasa amechelewa. Yeye ndio alipaswa kuwa mwenyekiti hata sasa, ila Mbowe alilazimisha kuendelea kuwa mwenyekiti.
Heche alifaa sana kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA au Naibu Katibu Mkuu.Tena hata sasa amechelewa. Yeye ndio alipaswa kuwa mwenyekiti hata sasa, ila Mbowe alilazimisha kuendelea kuwa mwenyekiti.
Umeongea point mkuuAs if ulikuwa akilini mwangu.Naomba hata vikao vya mchujo aongoze yeye.Mbowe amevusha Chama kwenye uchaguzi wa ndani naamini ni wakati muafaka gia ibadilike tupate tone ya Kikurya kidogo.
Chama ni cha wachaga, Heche ni mkurya. Usitake wachaga wakamchacha wangwe huyo kijana.Huyu Mkurya anajielewa sana, na ana msimamo thabiti kabisa
Msikilize
Anafaa lakini mimi naona kama ana jaziba hivi.
Huyu Mkurya anajielewa sana, na ana msimamo thabiti kabisa
Msikilize
Sometimes Jazba ni muhimu sana,Mbowe busara nyingi nyingi sana ndio maana sometimes wale jamaa hua wanamzoea kidwanzi sana.Anafaa lakini mimi naona kama ana jaziba hivi.
KweliJamaa nasikia ana taaluma ya ualimu..naona imemsaidia Sana kwenye kujenga hoja Kama mwl.nyerere
Huenda unachokisema kila uhalisia kabisa. Jamaa alipokuwa mwenyekiti BAVICHA taifa vijana CHADEMA waling'aa sana. Anastahili kuandaliwa kwa ajili ya jukumu hili zito mbele yakeTena hata sasa amechelewa. Yeye ndio alipaswa kuwa mwenyekiti hata sasa, ila Mbowe alilazimisha kuendelea kuwa mwenyekiti.
ahahahahaaaaaaLabda Baada ya mbowe kufariki
Bado hiyo nafasi anaweza kupewa hata wakati muhula wa Mh.Mbowe ukikamilika.Hajachelewa kupatiwa hiyo Kofia,hakuna adumuye hapa duniani.Naunga mkono hoja kwa 100%.
Huyu mwamba alishawahi kumbana Magu kwny mkutano kule Tarime Magu akaishia tu kusema usinijibu hivyo, wewe ni sawa na Mwanangu,hahahah.
Tuwapeleke Bungeni wagombe makini wa CDM/ACT wakaendeleleze kazi za ukombozi wa Tanzania yetu toka mikono ya mkoloni mweusi,tufanye reforms za kurejesha nchi kwenye misingi ya Haki,Uhuru ili tupate maendeleo shirikishi bila ubaguzi.Tuukatae Unyonge na Unyanyasaji wa aina yoyote.Heche ni bonge la jasiri,kukiwa na kina Heche kumi bungeni watu wangekaa kwa kujielewa.
Kitu hamtaki kuelewa nyakati za Heche siasa zilikuwa zinafanywa na vyama vyote sio kama sasa wanafanya cccm peke yaoHuenda unachokisema kila uhalisia kabisa. Jamaa alipokuwa mwenyekiti BAVICHA taifa vijana CHADEMA waling'aa sana. Anastahili kuandaliwa kwa ajili ya jukumu hili zito mbele yake