kadakokigondile
JF-Expert Member
- May 17, 2013
- 1,872
- 634
Badilisheni muelekeo, mazuri sifieni na mabaya kosoeni mtaona mabadilikoJohn Heche na John Mnyika walikuwa na kikao katika Jiji la Mwanza kilichohusisha wilaya ya Nyamagana na Ilemela, John Heche alishangazwa na uchache wa watu katika ukumbi, na akasema angalau Iringa walikuwa na watu 2000.
Hiki chama kikiwa mitandaoni kinajifananisha na jini kubwa sana. Lakini saiti, ni jini la barafu, jua likiwaka, linayeyuka.
CCM Kanda ya ziwa bado ni chama imara.
Hakika CHADEMA inakufa kifo Cha kiasili.
kamfufue uzikwe wewe. kwa taarifa yako siyo chadema tu walioshangilia hata ccm wenzio walishangilia " wazuri hawafi" Makamba mkubwaKanda ya ziwa ilichukizwa mno na kitendo cha Chadema kushangilia kifo cha Magufuli
Ndio maana nimekuambia check naye kwa ufafanuzi.Yeye baba yake yupo
Hata wewe IPO siku utakufaa kijanaa. Kifo hakina mwenyeweeNdio maana nimekuambia check naye kwa ufafanuzi.
Hata wewe IPO siku utakufaa kijanaa. Kifo hakina mwenyewee
John Heche na John Mnyika walikuwa na kikao katika Jiji la Mwanza kilichohusisha wilaya ya Nyamagana na Ilemela, John Heche alishangazwa na uchache wa watu katika ukumbi, na akasema angalau Iringa walikuwa na watu 2000.
Hiki chama kikiwa mitandaoni kinajifananisha na jini kubwa sana. Lakini saiti, ni jini la barafu, jua likiwaka, linayeyuka.
CCM Kanda ya ziwa bado ni chama imara.
Hakika CHADEMA inakufa kifo Cha kiasili.
Wewe labda family yako na ukoo wako usichanganye watu woteKanda ya ziwa ilichukizwa mno na kitendo cha Chadema kushangilia kifo cha Magufuli
Kwani yeye ameshangilia vifo vya watu wangapi hadharani na kushiriki juu... mijegeja ya Tundu Pasi umeisahau,apendwe tu kwakua alikua na maslahi kwao?Kanda ya ziwa ilichukizwa mno na kitendo cha Chadema kushangilia kifo cha Magufuli
Waza ngonoUmeshapeleka boga likaliwe?
Utakufaje nawakati wewe ni msafiii??Mimi hata nikifa ni poa tu maana sijifanyi mungu mtu kama alivyokuwa anajifanya dhalimu Magu.