John Heche ashangaa wajumbe wachache kuhudhuria mkutano alioalikwa akiwa na John Mnyika

Badilisheni muelekeo, mazuri sifieni na mabaya kosoeni mtaona mabadiliko
 
Kanda ya ziwa ilichukizwa mno na kitendo cha Chadema kushangilia kifo cha Magufuli
kamfufue uzikwe wewe. kwa taarifa yako siyo chadema tu walioshangilia hata ccm wenzio walishangilia " wazuri hawafi" Makamba mkubwa
 

Dada punguza umbeya leta hoja na sera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…