BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
Leta picha ya sasa! huyo ni Heche kabla ya ubunge, Heche wa sasa huwezi tofautisha shingo na mgongo. Anyway covid-19 imeisha?View attachment 1490375
Huu ni mwaka wa uchaguzi na mnakumbuka kwamba tuliwahi kuonya kwamba kuiteketeza ccm inahitaji siku 7 tu , na hali ndio kama mnayoiona.
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Babayenu si alisema corona imeisha au umesahauVipi corona imeisha? Mbona sioni barakoa?
Tutawachakaza vibaya sana,ngoja kampeni zianzeView attachment 1490375
Huu ni mwaka wa uchaguzi na mnakumbuka kwamba tuliwahi kuonya kwamba kuiteketeza ccm inahitaji siku 7 tu , na hali ndio kama mnayoiona.
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
πππππππView attachment 1490375
Huu ni mwaka wa uchaguzi na mnakumbuka kwamba tuliwahi kuonya kwamba kuiteketeza ccm inahitaji siku 7 tu , na hali ndio kama mnayoiona.
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Karibu sana kiongoziTutawachakaza vibaya sana,ngoja kampeni zianze
mioyo yetu iko dhabiti kabisa
Hiyo sare ya chadema haikuwepo wakati uleLeta picha ya sasa! huyo ni Heche kabla ya ubunge, Heche wa sasa huwezi tofautisha shingo na mgongo. Anyway covid-19 imeisha?
Kwani Tanzania kuna wagonjwa ?Corona imeisha nn?,chadema bana
Why?OCD kibarua kipo mashakani
Mpwa si Chadema nasikia ilikufa? Hahahahaha dadeeekiView attachment 1490375
Huu ni mwaka wa uchaguzi na mnakumbuka kwamba tuliwahi kuonya kwamba kuiteketeza ccm inahitaji siku 7 tu , na hali ndio kama mnayoiona.
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Huyo "Osidii" ataitwa mbele ya kamati ya maadili ya "sisiem" kwanini akiuke maelekezo ya mwenyekiti aruhusu chama pinzani kufanya kikao Cha ndani ndani ya wilaya Yake. Bunduki na mabomu vilikuwa wapi?View attachment 1490375
Huu ni mwaka wa uchaguzi na mnakumbuka kwamba tuliwahi kuonya kwamba kuiteketeza ccm inahitaji siku 7 tu , na hali ndio kama mnayoiona.
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Unganisheni nguvu pamoja na wazalendo kuwaondoa kaburu mweusi,wekeni pembeni tofauti zenu .Watanzania wanawategemea na wapo tayari kuwaondoa madikteta after 5 long years. We had been stinged&pinched too hard,we want changes of the Regime.Tutawachakaza vibaya sana,ngoja kampeni zianze
mioyo yetu iko dhabiti kabisa
Tunazungumzia umati wa wapenzi wa CDM, hiyo October tuiache kwanza maana hatujui hapa katikati kutatokea nini.Tukutane baada ya uktoba na huu uduvi
Kwa historia hii nimeelewa kwanini unakua mlalamishi sana. Pole sana mkuuHilo la kunyimwa kukutana wala halina mjadala, na ushahidi upo. Nakumbuka zamani nikiwa mdogo nililelewa na mama wa kambo, mbali ya kunitesa sana, pia alikuwa na tabia ya kuninyima chakula. Sio kwamba alikuwa hanipi kabisa maana ningekufa, ila anaweza kunipa mara moja kwa siku, tena sio cha kushiba. Nikawa nashitaki kwa baba yangu hali hiyo. Akawa akimuona baba yangu akawa ananijazia chakula kisha anamwabia baba yangu, mtoto wako si huwa anakuambia simpi chakula, hicho hapo ni nini? Huyo John Heche kuwepo hapo kwenye mkutano, haimaanishi kuwa cdm hawakataliwi kufanya mikutano yao, tena kwa kakatazo haramu.
πππHuyo "Osidii" ataitwa mbele ya kamati ya maadili ya "sisiem" kwanini akiuke maelekezo ya mwenyekiti aruhusu chama pinzani kufanya kikao Cha ndani ndani ya wilaya Yake. Bunduki na mabomu vilikuwa wapi?
Nchi ya Yoruba ina tabu na matatizo Sana hii, sisiem must go
Halafu tuwasikie mkiloloma eti mmezuiwa kufanya mikutano!View attachment 1490375
Huu ni mwaka wa uchaguzi na mnakumbuka kwamba tuliwahi kuonya kwamba kuiteketeza ccm inahitaji siku 7 tu , na hali ndio kama mnayoiona.
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Mafuriko tayari hata kabla ya masika! Yajayo yanafurahisha.
Kwa mujibu wa chadema wagonjwa wapo weng na watu wanakufa kila siku ndio nimejiuliza chadema wamesahau kua Kuna corona mana hawavai hata maskKwani Tanzania kuna wagonjwa ?
mkuu usihangaike na huyo kapukuHii picha haiwezi kuwa ya 2015. Hiyo t-shirt aliyova Heche, zilianza kuvaliwa mwaka Jana kwenye uchanguzi wa ndani wa CDM Taifa. Wanawake wamevalia vitenge vilivyoanza kuvaliwa 8/3/2020 siku ya wanawake. Hii ni picha ya mwaka huu bila shaka yoyote.