Pre GE2025 John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu

Pre GE2025 John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Poleni sana huko gentleman 😄

Ova
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Muonekano? Kwamba Mrisho Mpoto, Reemy Ongala hawa pia wasingekuwa na sura za kuwa viongozi?
Mnataka kutuletea kiongozi kutokana na sura wakati Mu gu alimuumba na kupendezwa naye?
 
Actually,
hoja na mabandiko yangu mengi humu JF ni matokeo ya tafiti mbalimbali nyingi mno ninazoendelea kuzifanya, kwa muda mfupi, wa kati na muda mrefu.

Hata hivyo,
ni akili moto na bongo kali pekee ndiyo inaweza kuibua mambo rahisi na ya kweli, huku wanaojiita waerevu wasioyaone bali wakaishia kua na makasiriko tu bila mawazo mapya wala fikra mbadala bora zaidi ya hoja mahususi mezani.

hulka zisizo za kiadilifu, hulka za ubinafsi fujo, makelele, mdomo, kiburi na ujeuri, zinataka kujipenyeza kwenye demokrasia na kubomoa ustawi wa vyama vya siasa nchini, eti mtaalamu mbobevu muandamizi nikae kimya, nikaingie google kitazama documentary 🤣


acha mzaha bas gentleman?
yaani ukoloni mambo leo unarejeshwa nchini wazi wazi kabisa na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, eti unadai, ninajadili watu badala ya masuala?

ninawajibika kujitolea kuinusuru demokrasia ndani ya vyama vya siasa, lakini pia kulinda umoja amani na utangamano miongoni mwa waTanzania, hata ikiwa baadhi ya wadau wataendekeza chuki dhidi ya hoja mahususi mezani,

My friends ladies and gentlemen,
ni muhimu zaidi as Tanzanians tuendelea kua pamoja licha ya kutofautiana kwenye mambo haya machache ya kisiasa.🐒
Siasa huko nyumbani naona sahv mtatoana menu gentleman 😄
Acha sahv tuwe watazamaji

Ova
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Shetani siku zote huwapinga watu waadilifu
 
Small mind discuss people
Average mind discuss events
And Big mind discuss ideas.


Mtu hujanywa hata chai unaamka na kutazama haiba za watu .

Hata Kama unalipwa na Ccm Ila jaribu Kufungua ofisi hata saatatu

Au msipopost inakuaje
Noma sana!
 
Kwani katiba ya chama chenu inasemaje kuhusu ilo?
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Bwana wewe nakuambia Heche na Lisu hawafai kuwa viongozi wakuu wa vyama vyovyote vya siasa wanaamini kumtumia nguvu tu kufikia malengo
 
gentleman,
kwahiyo kuna watu wanaumia kabisa huenda ikiwa ni pamoja na wewe, right?

ni kweli kabisaa unamia kwasabb ya siasa au hali ngumu ya maisha?[emoji1787]

acha uvivu gentleman ongeza bidii ya kazi, bila makasiriko utatoboa tu [emoji205]
Hey lady mimi sipati kula kwa kuwa chawa kama wewe, we unalipwa na kina abdul kwa kusambaza hizo propaganda zako uchwara

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
ni sawa,
nyie watu wa tamaa za mwili, vyeo na usaliti si mnafahamiana kwa code za uempty head:pedroP:
Gentleman, wanasiasa wa Tanzania wakimaliza kuwatumia nyie vijana watawatupa tu kama toilet paper. PLEASE ACHANA NAO MDOGO WANGU
 
Gentleman, wanasiasa wa Tanzania wakimaliza kuwatumia nyie vijana watawatupa tu kama toilet paper. PLEASE ACHANA NAO MDOGO WANGU
huo si utumwa gentleman,

unatumikaje kwa mfano gentleman,
hebu elezea wadau kwa kina kifupi kidogo ilikuaje ukatumika halafu ukatupwa kama toilet paper?

ni kwasababau ya uvivu wako, umaskini, uzembe au tamaa zako za kutaka kujipatia kipato kirahisi rahisi bila kufanya kazi kwa bidii, ama ilikua vipi gentleman? :pedroP:

umesoma soma kidogo? au ndio ile kanyaga twende?:pedroP:
 
Bwana wewe nakuambia Heche na Lisu hawafai kuwa viongozi wakuu wa vyama vyovyote vya siasa wanaamini kumtumia nguvu tu kufikia malengo
wajumbe wa mkutano mkuu chadema taifa,
watawanyorosha vizuri sana Jan,22.2025 hawataamini hawataamini macho yao,

we acha wajipige kifua tu mitandaoni:pedroP:
 
Siasa huko nyumbani naona sahv mtatoana menu gentleman 😄
Acha sahv tuwe watazamaji

Ova
na huu ni mwanzo tu,
mambo bado gentleman,

watu watulize ball na kujipanga vizuri:pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom