Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacheni kubaka demokrasia
Kama kweli Mbowe kamhujumu Heche basi inaifuta chadema kanda ya Ziwa. Heche ndiyo nembo ya chadema huku kanda maalumu.Ashura tafute Mume akuoe...mabwana watakupotezea muda utabaki kuwa Danga, dada angu.
Huu muda wa kuandika upuuzi na majungu ungeutumia kuandika wazo LA biashara tungepunguza idadi ya masikini nchini,
nyie madogo tafuteni hela hizi makitu zitawafanya masikini
Kuna vilaza wa ufipa watamlaumu jpm ktk hili pia.
Ww n zero kweli hivi watu wa lumumba hizi pumba mnazitoaga wapi
Mbona wewe una jina Bandia?[emoji3]Kama wewe siyo mwongo weka jina lako sahihi halafu kama unajua rushwa ya ngono imetumika ulipaswa kutoa taarifa TAKUKURU ili uchaguzi ufanyike kuliko kubwabwaja hapa, pole sana
Hata baada ya uchaguzi huo, Heche wakati wa kutoa shukrani, alisema kuwa, yeye Heche alikuwa mstari wa mbele kumshawishi Mbowe agombee hiyo nafasi ya Uenyekiti.Na kwa kuwa hujui nikujuze kidogo tu Mh. HECHE na Mh. MBOWE ni watu wa karibu zaidi kuliko Heche na hao uliowataja!
Kama unaakili na kumbukumbu kumbuka uchaguzi wa Bavicha uliomuweka Heche Kuwa Mwenyekiti wao.
Kama ushahidi pekee ulionao ndio huu, ni wajinga tu watakaokubaliana nawe.Kama ulikuwa unajiuliza imekuwaje shujaa Heche aangushwe Serengeti basi UKWELI MCHUNGU ndio huo kuwa nguvu ya ngono na na urafiki wake na kina Selasini, Mwambe, Kubenea na Komu ndivyo vilivyo mgharimu.