1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Watakutukana badala ya kutetea hayo waliyofanya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hawaogopi Chadema kama Chama Cha siasa Bali watu wanaogopa Chama kugeuzwa kuwa cha Kikabila.Click to expand...
Amwachie babakoChama Cha Demokrasia na Maendeleo, lakini Mwenyekiti kagoma kung'atuka!
kweli kabisa. . .anything can happenKwenye Siasa ni fitina tu,so inaweza kuwa kweli/Uongo,A & B ni sawa tu
Kama uwenyekiti anaung'ang'ania hivi, je akipata urais tutamtoa kweli?Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, lakini Mwenyekiti kagoma kung'atuka!
Membe ataitwa lini na BashiruWacheni kubaka demokrasia
Ndiyo mkuukweli kabisa. . .anything can happen
mimi sina hasara, hata akinipiga risasi kama alivyompiga Lissu haina shida kabisaBrother ukitekwa usiseme watu wasiojulikana.Nadhani Mbowe unamjua vizuri utashughulikiwa barabara.
.....mfano Sugu, Lissu, na Heche, hao wote kabila moja kwa akili za lumumba!, mjipange vizuri na propaganda zenu za kitoto, sio kukurupuka tu.Watu hawaogopi Chadema kama Chama Cha siasa Bali watu wanaogopa Chama kugeuzwa kuwa cha Kikabila.
Ukabila sio tunaoutaka .Tunataka Demokrasia .
Bora hata kifutwe Mana kitatuletea janga la ukabila Tanzania . Tumeshaona dalili na chuki zinazojengwa kwa wakosoaji wa Mbowe.
Mbowe ni sumu mbaya ya kujenga ukabila kwa Taifa hili. Ana agenda ya siri huyo Mbowe!?
Membe ataitwa lini na Bashiru
Sijawahi mlaumu dj ktk lolote, in fact naaomba aendelee kuwaburuza yeye forever. Anajua zaidi kucheza na akili zenu zaidi ya yoyote na muda huo huo naye yuko remotely controlled.Kama wewe unavo mlaumu mbowe
Hivi ni lini ilikua mara ya mwisho kwetu CCM kufanya uchaguzi wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama ngazi taifa?Ujinga tu huna hoja,wapiga kura ambao ni wajumbe halali wamepiga kura na ndio hayo maamuzi yao.Kwani Mbowe Mara Salumu mwalimu walikuwa wapiga kura wa kanda hiyo? Heshimuni maamuzi ya wapiga kura unless utwambie kama zipo kanuni za uchaguzi zilizokiukwa kumpendelea mgombea flani na uziainishe hapa.