kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Unadhani kwanini baraza la mawaziri kuna chadema kadhaa? Kwanini ccm wanahangaika na kuwatamani C-19? Ulishajiuliza sababu ya mheshimiwa kulazimika kufanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum ili kupata wa kuwateua uwaziri ilhali kuna zaidi ya 300? CCM ina wenyewe.Hana lolote huyo! Ni mwanasiasa anayetumia nguvu nyingi kuliko maarifa! CCM ina watu wengi sana wanaojua siasa za hoja .
Huko CCM yamejaa mapooza tupuMoja ya vijana mahiri wa Chadema wanaowindwa na chama Cha mapinduz ni John HECHE. Kuwindwa kwake ni katika harakati za kupunguza nguvu ya upinzani kanda ya ziwa na kulainisha miyoyo ya wananchi.
Je, ataweza kuvumilia safari ya siasa za upinzani akiwa ndani ya walezi wake Chadema? Kwanini CCM inaamini hawa vijana wanapaswa kusajiliwa kwao? Je, nguvu yakukuza vipaji na nguvu yakumshawishi mtu usiamini imani yake ipi nguvu kubwa?
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai!Moja ya vijana mahiri wa Chadema wanaowindwa na chama Cha mapinduz ni John HECHE. Kuwindwa kwake ni katika harakati za kupunguza nguvu ya upinzani kanda ya ziwa na kulainisha miyoyo ya wananchi..
Kuna mwanasiasa nchini anatatumia nguvu kuliko akili kama Magufuli?Hana lolote huyo! Ni mwanasiasa anayetumia nguvu nyingi kuliko maarifa! CCM ina watu wengi sana wanaojua siasa za hoja .
Kama wewe au siyo!?Hana lolote huyo! Ni mwanasiasa anayetumia nguvu nyingi kuliko maarifa! CCM ina watu wengi sana wanaojua siasa za hoja .
Usiusemee moyoAkifika Bei sawa, ila sio tahasi ,
Kamanda acha kututukana na kutuita mazoba. Utatuitaje mazoba wakati sisi tulishituka tukaukataa ushoga? Mazoba si nyie mlioukubali ushoga bila hata kuuliza? Mwanaume mzima utakubalije sera ya kushikishwa ukuta kama we siyo zoba? Zoba mwenyewe: nadhani umechanganyikiwa kwa kuwa Sexless 🤓🤓Bei ikifika namshauri ajiunge tu CCM. Umri unaenda na watanzania bado mazoba Sana, kuyapigania haya mazoba inahitaji moyo Sana. Heche tafuta Bei. Jitegeshe kwa akina Polepole, wakileta dau kubali.
Moja ya vijana mahiri wa Chadema wanaowindwa na chama Cha mapinduz ni John HECHE. Kuwindwa kwake ni katika harakati za kupunguza nguvu ya upinzani kanda ya ziwa na kulainisha miyoyo ya wananchi...
Mkuu 2020 -2025 hautaamini masikio yako ,Manguli wa CHADEMA watajiunga na Chama TAWALA.Moja ya vijana mahiri wa Chadema wanaowindwa na chama Cha mapinduz ni John HECHE. Kuwindwa kwake ni katika harakati za kupunguza nguvu ya upinzani kanda ya ziwa na kulainisha miyoyo ya wananchi...
Gekul, Patrobas Katambi, Prof Mkumbo, Silinde na Chacha nk wote wamekuwa mawaziri kutoka upinzani acha upambe hawakujui CCM ina wenyeweHana lolote huyo! Ni mwanasiasa anayetumia nguvu nyingi kuliko maarifa! CCM ina watu wengi sana wanaojua siasa za hoja .
Usiwaamini wanasiasa, nakushauri usiweke siasa kwa moyo, utaumia siku mtu uliyemuamini utakaposikia amesaliti. Nakushauri weka siasa kwa Lungs ikitokea ukipumua tu inatoka kwa kasi na maisha yanaendeleaAkifika Bei sawa,ila sio tahasi ,
Mkuu kama huamini kua hii serekali yetu ya sasa inasapoti mashoga baasi tena. Nimetoka kupigwa ban muda si mrefu for the first time in 11 years kwa kutumia neno shoga ktk post moja yangu.Kamanda acha kututukana na kutuita mazoba. Utatuitaje mazoba wakati sisi tulishituka tukaukataa ushoga? Mazoba si nyie mlioukubali ushoga bila hata kuuliza? Mwanaume mzima utakubalije sera ya kushikishwa ukuta kama we siyo zoba? Zoba mwenyewe: nadhani umechanganyikiwa kwa kuwa Sexless 🤓🤓