Hata ukirudisha kadi unafikiri wewe una umuhimu wowote ccm,???Kwani nani alikuambia uchukue kadi??Ondoka tuu,,Heche ni Mwanasiasa mzuri tutamchukua tuu arudi nyumbani.Siku ccm wakimkumbatia huyu john heche, Mimi nitarudisha kadi ya ccm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukirudisha kadi unafikiri wewe una umuhimu wowote ccm,???Kwani nani alikuambia uchukue kadi??Ondoka tuu,,Heche ni Mwanasiasa mzuri tutamchukua tuu arudi nyumbani.Siku ccm wakimkumbatia huyu john heche, Mimi nitarudisha kadi ya ccm.
Ccm ni chama makini hawachukui takataka kama hiyooo.Hata ukirudisha kadi unafikiri wewe una umuhimu wowote ccm,???Kwani nani alikuambia uchukue kadi??Ondoka tuu,,Heche ni Mwanasiasa mzuri tutamchukua tuu arudi nyumbani.
Kama msukuma na lusindeHana lolote huyo! Ni mwanasiasa anayetumia nguvu nyingi kuliko maarifa! CCM ina watu wengi sana wanaojua siasa za hoja .
Hivi John Heche unaweza kumfananisha na Hissein BasheAkifika Bei sawa, ila sio rahisi ,
Hujui ulicho andika hapaUnadhani kwanini baraza la mawaziri kuna chadema kadhaa? Kwanini ccm wanahangaika na kuwatamani C-19? Ulishajiuliza sababu ya mheshimiwa kulazimika kufanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum ili kupata wa kuwateua uwaziri ilhali kuna zaidi ya 300? CCM ina wenyewe.
John Heche ni mpiga kerere ti ila hajui chochote cha maana kwenye hoja.Hivi John Heche unaweza kumfananisha na Hissein Bashe
naona heche unajipigia debe lipia tangazo jamii forumsMoja ya vijana mahiri wa Chadema wanaowindwa na chama Cha mapinduz ni John HECHE. Kuwindwa kwake ni katika harakati za kupunguza nguvu ya upinzani kanda ya ziwa na kulainisha miyoyo ya wananchi.
Je, ataweza kuvumilia safari ya siasa za upinzani akiwa ndani ya walezi wake Chadema? Kwanini CCM inaamini hawa vijana wanapaswa kusajiliwa kwao? Je, nguvu yakukuza vipaji na nguvu yakumshawishi mtu usiamini imani yake ipi nguvu kubwa?
Mnaifilisi Shopping Mall yenu sijui mtanunua wapi, mlidhani ni ujanja!Moja ya vijana mahiri wa Chadema wanaowindwa na chama Cha mapinduz ni John HECHE. Kuwindwa kwake ni katika harakati za kupunguza nguvu ya upinzani kanda ya ziwa na kulainisha miyoyo ya wananchi.
Je, ataweza kuvumilia safari ya siasa za upinzani akiwa ndani ya walezi wake Chadema? Kwanini CCM inaamini hawa vijana wanapaswa kusajiliwa kwao? Je, nguvu yakukuza vipaji na nguvu yakumshawishi mtu usiamini imani yake ipi nguvu kubwa?
Uyo mtu sio mlaini kiasi icho mzeeMoja ya vijana mahiri wa Chadema wanaowindwa na chama Cha mapinduz ni John HECHE. Kuwindwa kwake ni katika harakati za kupunguza nguvu ya upinzani kanda ya ziwa na kulainisha miyoyo ya wananchi.
Je, ataweza kuvumilia safari ya siasa za upinzani akiwa ndani ya walezi wake Chadema? Kwanini CCM inaamini hawa vijana wanapaswa kusajiliwa kwao? Je, nguvu yakukuza vipaji na nguvu yakumshawishi mtu usiamini imani yake ipi nguvu kubwa?
Unaona atachukua nafasi yako eeh?!Hana lolote huyo! Ni mwanasiasa anayetumia nguvu nyingi kuliko maarifa! CCM ina watu wengi sana wanaojua siasa za hoja .
Mbona Magufuli anatumia wasiojulikana badala ya kujibu hoja?Hana lolote huyo! Ni mwanasiasa anayetumia nguvu nyingi kuliko maarifa! CCM ina watu wengi sana wanaojua siasa za hoja .
Mkuu nimecheka Sana,Usiwaamini wanasiasa, nakushauri usiweke siasa kwa moyo, utaumia siku mtu uliyemuamini utakaposikia amesaliti. Nakushauri weka siasa kwa Lungs ikitokea ukipumua tu inatoka kwa kasi na maisha yanaendelea
Sijakuelewa mkuu kuwafananisha katika lipi? maana Hawa wanatoka vyama tofautiHivi John Heche unaweza kumfananisha na Hissein Bashe
Wenyewe ndio sisi pamoja na we we[emoji23]Unadhani kwanini baraza la mawaziri kuna chadema kadhaa? Kwanini ccm wanahangaika na kuwatamani C-19? Ulishajiuliza sababu ya mheshimiwa kulazimika kufanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum ili kupata wa kuwateua uwaziri ilhali kuna zaidi ya 300? CCM ina wenyewe.
Kama nani mfano?Hana lolote huyo! Ni mwanasiasa anayetumia nguvu nyingi kuliko maarifa! CCM ina watu wengi sana wanaojua siasa za hoja .
Wangekuwepo CCM isingekua ina nunua vijana kutoka upinzani na kuwapa uongoziHana lolote huyo! Ni mwanasiasa anayetumia nguvu nyingi kuliko maarifa! CCM ina watu wengi sana wanaojua siasa za hoja .
Kwa sababu huko CCM yamejaa mapooza lazima wachukue vichwa toka Chadema.Mkuu 2020 -2025 hautaamini masikio yako ,Manguli wa CHADEMA watajiunga na Chama TAWALA.