Tunasubiri taarifa ulisema unaleta punde!Hii ni taarifa iliyotufikia hivi punde , kwamba Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Serengeti amepigwa sana na Polisi alipofika kwenye ofisi ya msimamizi wa uchaguzi jimboni humo
Taarifa zaidi zitawajia punde .......