Uchaguzi 2020 John Heche: Mgombea wetu wa ubunge Serengeti, Catherine Ruge na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, ndugu Garatwa, wamepigwa na polisi na kuchaniwa nguo

Uchaguzi 2020 John Heche: Mgombea wetu wa ubunge Serengeti, Catherine Ruge na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, ndugu Garatwa, wamepigwa na polisi na kuchaniwa nguo

Hii ni taarifa iliyotufikia hivi punde , kwamba Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Serengeti amepigwa sana na Polisi alipofika kwenye ofisi ya msimamizi wa uchaguzi jimboni humo

Taarifa zaidi zitawajia punde .......
Tunasubiri taarifa ulisema unaleta punde!
 
Kama leo yuko mama wa cdm hapo chato akimsukuma polisi kwa mikono, hii si sawa. Bahati nzuri polisi wa Tanzania wanayo kauli mbiu yao yenye utu ndani yake"Tii sheria bila shuruti" Kinyume chake ndio matokeo haya kama yanavyo jieleza, "Wamelazwa"

Na wafuasi wa cdm na baadhui ya Watanzania wachache wasipo mstukia Lissu wataumia. Lissu anachotaka ni kutekeleza kazi ya shetani ya kuona wengi zaidi wanapata madhila yaliyo mpata, utimie ule msemo kifo cha wengi.
 
Ina maana CCM hata kukabiliana na binti kama Catherine kwenye uchaguzi mnahitaji msaada wa Polisi? Hii ni aibu, hii ni fedheha!!!
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana
 
Kama leo yuko mama wa cdm hapo chato akimsukuma polisi kwa mikono, hii si sawa. Bahati nzuri polisi wa Tanzania wanayo kauli mbiu yao yenye utu ndani yake"Tii sheria bila shuruti" Kinyume chake ndio matokeo haya kama yanavyo jieleza, "Wamelazwa"

Na wafuasi wa cdm na baadhui ya Watanzania wachache wasipo mstukia Lissu wataumia. Lissu anachotaka ni kutekeleza kazi ya shetani ya kuona wengi zaidi wanapata madhila yaliyo mpata, utimie ule msemo kifo cha wengi.
Ukiangalia ile video utaona Hawa watu wanamihemko ya ajabu. Eti anataka kumpiga polisi huku akimlaumu kwanini hajamkamata aliyerusha jiwe? Anasahau kuwa hilo jiwe lingeweza kumpiga hata huyo polisi.
Polisi waki react inakuwa shida ooh tunaonewa. Kwa mwendo huu wataumia wengi.
 
Halina Mdee, Sugu bunge si sehemu ya wahuni ni makosa yalitokea, wako hoi. Bunju ambako ni ngome ya Halima mdee mkutano wake wa kampeni alipata watu zaidi ya mia lakini chini ya mia2, biashara imeisha.
Acha uzushi wako wa kutumwa na Gwajima usifikiri watu hawajui upo after money kwa ghwajima
 
Nabado mtapigwa sana. Hadi akili iwakae sawa
Kupigwa kunaenda mwisho kwani mda si mrefu IGP maRPC OCD na Polisiccm wote wanaoshiriki vitendo vya hovyo kuwapiga mabomu wapinzani kuruhusu wananchi kurusha mawe kama kule chato leo watafikishwa ICC The Hague mda wowote hata pengine kabla ya uchaguzi au baada ya uchaguzi.
 
Wachunguzi wa ICC wanayo list ndefu ya maccm makorofi na Polisiccm wote wanaoshiriki vitendo vya uonevu unyanyasaji uovu mwingi kwa wapinzani
 
Kupigwa kunaenda mwisho kwani mda si mrefu IGP maRPC OCD na Polisiccm wote wanaoshiriki vitendo vya hovyo kuwapiga mabomu wapinzani kuruhusu wananchi kurusha mawe kama kule chato leo watafikishwa ICC The Hague mda wowote hata pengine kabla ya uchaguzi au baada ya uchaguzi.
Tii sheria bila shuruti. Nje ya hapo utashurutishwa kwakichapo. Watu waliongelea MIGA, nini the Hague? Hayo nimaneno yakujifariji manyumbu
 
Ukiangalia ile video utaona Hawa watu wanamihemko ya ajabu. Eti anataka kumpiga polisi huku akimlaumu kwanini hajamkamata aliyerusha jiwe? Anasahau kuwa hilo jiwe lingeweza kumpiga hata huyo polisi.
Polisi waki react inakuwa shida ooh tunaonewa. Kwa mwendo huu wataumia wengi.

Tunapojongelea tarehe za uchaguzi, Lissiu na msafara wake wanatakiwa wapelekewe polisi wazoefu kama wale wa wapemba, yule aliyesukumwa na mama pale ni kama vile ndio katoka depo juzi hana uzoefu kazi.
 
Tunapojongelea tarehe za uchaguzi, Lissiu na msafara wake wanatakiwa wapelekewe polisi wazoefu kama wale wa wapemba, yule aliyesukumwa na mama pale ni kama vile ndio katoka depo juzi hana uzoefu kazi.
Kwani yeye Mbona hakuwakamata waliokuwa wakirusha mawe? Kwani Polisiccm wazoefu watalinda warisha mawe au watafanya nini? Ujie ICC wameleta wapelelezi wa Tanzania huo ujinga wa Polisiccm wa pemba usifanyike Tanganyika kwani mara baada ya uchaguzi kuna idadi kubwa ya Polisiccm watafikishwa ICC The Hague kujibu tuhuma zao
 
Chadema kama kawaida yao, wanaanzisha fujo na wakidhibitiwa wanaanza ngonjera zao.

Washaona hawatopata kura hivyo wanalianzisha mdogo mdogo
Kakojoe ulale.
 
Heche ameandika ujumbe huu katika akaunti yake ya twitter:

Nimepokea taarifa kutoka Serengeti mgombea wetu mh. Catherine Ruge, Mwenyekiti wetu wa wilaya mh Francis Garatwa, na watu wengine waliokua ofisi ya Mkurugenzi kudai mabadiliko ya ratiba, wamevamiwa na polisi wamepigwa na kuchaniwa nguo. Hali ya mh Cathy sio nzuri.
Yaani mambo yanabadilika, yaani wazee wa "kugecha" siku hizi wanapigwa na kuja kuanzisha Uzi huku?
 
Kwani yeye Mbona hakuwakamata waliokuwa wakirusha mawe? Kwani Polisiccm wazoefu watalinda warisha mawe au watafanya nini? Ujie ICC wameleta wapelelezi wa Tanzania huo ujinga wa Polisiccm wa pemba usifanyike Tanganyika kwani mara baada ya uchaguzi kuna idadi kubwa ya Polisiccm watafikishwa ICC The Hague kujibu tuhuma zao
Hahahaha kama inauma chomoa, ICC ndo nini? Waharifu lazima washugulikiwe kikamilifu!
 
jeshi LA polisi litasababisha Tanzania iadhibiwe na wahisani,time will tell,tutawekewa vikwazo mpaka wasiohusika nao wataumia
 
Nimeandika Mara nyingi the only way kwa sasa kwa cdm ni kujitetea,muwe na vijana standby ,,muwe na walinzi Hadi uchaguzi upite ili wakivamia kutokee Hali ya kutoana jasho kulia Lia mitandaoni hakutasaidia Wala kukomesha huu upuuzi wa hao mandezi ya kijani
 
Kwani yeye Mbona hakuwakamata waliokuwa wakirusha mawe? Kwani Polisiccm wazoefu watalinda warisha mawe au watafanya nini? Ujie ICC wameleta wapelelezi wa Tanzania huo ujinga wa Polisiccm wa pemba usifanyike Tanganyika kwani mara baada ya uchaguzi kuna idadi kubwa ya Polisiccm watafikishwa ICC The Hague kujibu tuhuma zao


Usinichekeshe ICC ya akampo na yule judge mama sauda. Eti, eti, eti, wameleta wapepelelezi ndio mbinu nyingine hii ya kutia hofu inayo tumiwa na maadui wa ndani na nje ya Taifa la Tanzania. Huko kwenye mitandaio yule basha wa Lissu Robertison naye ana kakauli mbiu kake "Tanzania we are watching."

Na jua wale polisi wa pemba wao wanajivunia ngumi jiwe. Mmoja anatuliza 100 kwa ngumi. Hajatumia teke wa kisu cha mkwezi wa nazi cha kufekea shingo ya nyoka akikutana naye juu ya mnazi akiangua madafu.
 
CCM washashindwa sasa wameamua kuanza masumbwi ...aibu kubwa aisee
 
Back
Top Bottom