Zakaria Lang'o
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,768
Hivi huu mkutano wa CCM ulikuwa mkutano mkuu wa chama cha siasa au mkutano mkuu wa maamuma!!!? Maana ukiwasikia Bashiru na mzee Mwinyi, utadhani genge la majuha yamekutana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kushabikia Chama ambacho eti watu wazima wanasema wavunje katiba kwa kumpa mtu zawadi ni kuvunja nini????kushabikia chadema kwa sasa kunahitaji sifa ya kuyumba kwa dishi 😃😃😃
Kubwa kwenu bwasheMkutano mkuu wa chama tawala ni jambo kubwa bwashee!
Sawa, haya kanywe maji ukalale sasaWangeenda huenda wangepata cha kujifunza, sisiem kutoenda mikutano ya Chadema ni sawa tu hakuna cha kujifunza huko, ila chadema wangejifunza.
Kumbuka ccm ni miongoni mwa vyama vya siaea imara duniani ni cha 53
Sawa.Sawa, haya kanywe maji ukalale sasa
Ova
Bado kalewa konyagi
Waliwakilishwa na ofisi a msajili wa vyama vya siasaHivi karibuni Chadema walifanya mkutano wao mkuu pale mlimani city, hakuhudhuria mwenyekiti wa CCM ndugu Magufuli wala katibu mkuu wa CCM ndugu Bashiru Ali ili haliwote walikua hapa nchini nawazima wa afya. Iweje ushangae kwa nini Mnyika hajahudhuri mkutano wa CCM?
Duh
Kapigwa na nani??Tundu lisu kapigwa risasi mkuu
Ila mkutano mkuu wa chama kikuu cha upinzani ni jambo dogo bwashee?Mkutano mkuu wa chama tawala ni jambo kubwa bwashee!
Mnyika ana akili zake timamu kama mimi ambaye hata kwenye TV sikuangalia wala Radio kusikiliza baada ya kusikia mkutano utaonyeshwa na kutangazwa mubashara sembuse kuhudhuria? Watafuta uteuzi kama wakina Mrema wa TLP na wengine wana sababu ya njaa kuhudhuria licha ya kujua tabia mikutano ya Chama hicho kutumika kudhalilisha wapinzani kufurahisha wanachama. Kwanza ilikuwa mkutano usio na maana kwa sababu aliyeomba kugombea ni mmoja tu na anajulikana na mwenza. I mmoja tu anajulikana wanachaguliwaje hawa na gharama zote hizo? WanaCCM tunajua ujinga wao hawaoni udhaifu huo wa Chama chao lakini wapinzani kuhudhuria mikutano ya hao kama huo inashangaza sana. Hongera Mnyika!Najua mwenyekiti Mbowe bado ni mgonjwa na makamu wake Tundu Lisu yuko nje ya nch lakini Katibu mkuu Mnyika yupo pale jimboni Kibamba.
Ninachojiuliza kwanini Mnyika hakuhudhuria mkutano mkuu wa CCM ilhali vyama vyote vya siasa vilipewa mwaliko?
Maendeleo hayana vyamnana
Mkutano mkuu wa chama tawala ni jambo kubwa bwashee!
kumbe kulazimishwa kusema ndiyo ni jambo kubwaMkutano mkuu wa chama tawala ni jambo kubwa bwashee!
Kwa chadema upinzani ni vita, chuki na uhasama!Najua mwenyekiti Mbowe bado ni mgonjwa na makamu wake Tundu Lisu yuko nje ya nch lakini Katibu mkuu Mnyika yupo pale jimboni Kibamba.
Ninachojiuliza kwanini Mnyika hakuhudhuria mkutano mkuu wa CCM ilhali vyama vyote vya siasa vilipewa mwaliko?
Maendeleo hayana vyama
Hata mimi nisinge hudhudhuria kwa kuitwa wapinzani ni coronaNajua mwenyekiti Mbowe bado ni mgonjwa na makamu wake Tundu Lisu yuko nje ya nch lakini Katibu mkuu Mnyika yupo pale jimboni Kibamba.
Ninachojiuliza kwanini Mnyika hakuhudhuria mkutano mkuu wa CCM ilhali vyama vyote vya siasa vilipewa mwaliko?
Maendeleo hayana vyama